wakikosi
JF-Expert Member
- Feb 28, 2015
- 1,354
- 1,483
Walimu wanasimamia mitihani ya kitaifa lakini wengine wanalipwa kwa wakati na wengine malipo yao huwa ni kwa kuvutana sana
Mitihani ya darasa la 7 kuna walimu walilipwa baada ya wiki 2 tangu mitihani iishe.
Na leo mitihani ya kitaifa darasa la 4 imekamilika leo kufanyika nchi nzima
Lakini kuna walimu wengi waliosimamia mitihani hiyo ya darasa la 4 hadi sasa hawajalipwa,kuanzia pesa ya semina ya mtihani huo hadi malipo ya kusimamia mitihani hiyo.
Halmashauri ya wilaya Mkuranga mjitafakari hizi kazi ni ngumu sana,na walimu wanatarajia kupata chochote baada ya kufanya kazi ngumu hizi zenye hatari ya kila aina.
Mkuranga mjitafakari sana, haya mambo hayapo wilaya zingine lakini ni Mkuranga tu
Mitihani ya darasa la 7 kuna walimu walilipwa baada ya wiki 2 tangu mitihani iishe.
Na leo mitihani ya kitaifa darasa la 4 imekamilika leo kufanyika nchi nzima
Lakini kuna walimu wengi waliosimamia mitihani hiyo ya darasa la 4 hadi sasa hawajalipwa,kuanzia pesa ya semina ya mtihani huo hadi malipo ya kusimamia mitihani hiyo.
Halmashauri ya wilaya Mkuranga mjitafakari hizi kazi ni ngumu sana,na walimu wanatarajia kupata chochote baada ya kufanya kazi ngumu hizi zenye hatari ya kila aina.
Mkuranga mjitafakari sana, haya mambo hayapo wilaya zingine lakini ni Mkuranga tu