duh, umeniamsha tena..Wana JF, Napata wasiwasi isije waziri Mkulo akawa ametoweka kwa staili ya Daud Balali!!!!!
Wana JF, Napata wasiwasi isije waziri Mkulo akawa ametoweka kwa staili ya Daud Balali!!!!!
Atarudi kwao Malawi
tumemwona jana akiwa na kikwete Brazil ndo wanapanga kutokomea