Mkulo for crisis meeting as inflation nears 17pc

Hivi kuna watu wanategemea this guy mkulo kuwa na substance katika economic development ya Tz? The guy is a failure just like the Nchimbis, Tyson, Nundus etc.

nami nashangaa hata elimu yake ni feki from diploma mills does he even knows the effects of high inflation to a common man?
 
Mkullo alipewa uchumi unaoridhisha lakini kauvunjavunja na sasa tunaelekea direction ya uchumi wa Mwinyi! Mfumko wa bei unatisha, thamani ya shilingi inashuka kila kukicha. Sijui ni kwa nini rais anaona huyu mtu anafaa licha ya kuvurunda kwa miaka yote hiyo?

Mara nyingi vibarghashia na kanzu zikijipanga pale juu, mambo yana kwenda ndivyo sivyo. Kumbuka enzi za Mwinyi na Malima, inflation ilikuwa ina inapaa. Huyu nae, vilevile! Heri ya enzi za muuza nchi iflation ilikuwa somehow better!
 
Jamani tuna hali mbaya zaidi tunavyozidi kuendelea, kila kukicha ni afadhali yajana.
Hivi hawa watu wamewekwa katika nyadhifa hizo kwa maslahi ya kitu kipi?

Ngoja tusikilize huo mkutano wao watakuja na jipya lipi la kupunguza ukali wa gharama za maisha ambao umepanda kwa kiwango cha kutisha.
 
Utadhani nchi haina hata msomi mmoja bana....there are very simple things to do ili kustabilise currency na inflation lakini hii miny'ang'au haijui what is the priority. Unataka kujenga ghorofa focus inakuwa ni vioo badala ya nondo.

Nchi haijui vipaumbele ni vipi. Nashangaa mkopo unachukuliwa china kujenga miundombinu ya kusafirisha gasi lakini investiment kwenye hivyo vinu vya gesi sioni wala kwenye makaa ya mawe ambapo umeme ungezalika hamna investment. Sasa unadhani tutaweza balance the balance of payment (BoP) ili tuwe na stable curreny hence stable inflation!!! GRRR
 
  • Thanks
Reactions: Ame
I would like to believe that 'capital flight' by the so called investors and/or mining firms are one of the major reasons for the increment of the dollar rates. Perhaps Mkulo should contemplate giving these investors fixed periods per year for transferring their 'gains' back home.

Secondly, as everyone knows, importation of fuel due to demands for running the generators is also chewing up the dollars.
 
Tangu lini uchumi ukaendeshwa kwa vikao. Bongo bwana kila kitu siasa. Asisahau kuunda na tume itasaidia pia.
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Tulionywa na Dr wa ukweli Slaa...nanukuu

"KUMCHAGUA TENA KIWETE NI JANGA LA KITAIFA...!"
na sasa ni mwaka mmoja tu cha moto tunakiona..! jamaa anaongeza mbunye tu!
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Kwakweli nchi yetu inasikitisha sana, huyu waziri wetu wa Fedha hakuna kitu kabisaa jamani, lakini aliyempa madaraka anamkumbatia tu.... hata kama ni kulipa fadhila angemtafutia sehemu nyingine sio kuchezea uchumi wa nchi yetu.:smash:
 
Mkulo for crisis meeting as inflation nears 17pc
Monday, 17 October 2011 22:57
digg

By Alawi Masare
The Citizen Reporter
Dar es Salaam.

Finance and Economic Affairs minister Mustafa Mkulo has called a crisis meeting to find ways of taming the high cost of living indicated by rising inflation rate that has reached 16.8 per cent, the highest in a decade.With the freefalling shilling, unreliable electricity supply and food shortages, the rising commodity prices have eroded the purchasing power of Tanzania’s low income earners, pushing inflation levels to double digit since June.

Mr Mkulo said a meeting scheduled for this week will bring together experts from the Treasury, central bank and other key government departments to plan on how to bring relief to the citizenry in the face of spiralling prices.
“The matter is serious. The central bank governor (Benno Ndulu) and I will both attend the meeting to see what we can do to address the situation,” he told The Citizen yesterday in a telephone interview.

The annual headline inflation rate for the year ended September increased from 14.1 per cent in August and economists worry that the rate would reach 20 per cent by the end of the year unless appropriate steps, including stabilising the shilling and putting an end to the power crisis, are not taken.

The highest inflation rate in the last ten years was in March 2009 when it reached 13 per cent.
Things started going awry in June at the height of the power crisis and food shortages when inflation reached a double digit of 10.9 per cent after a 15-month reign of a single digit inflation rate.

Food and energy prices exerted the most pressure on the inflation with food inflation rising to 21.3 per cent from the 17.4 per cent in August.

Food items that contributed to the increase in prices include sugar, maize, meat, bread, pastry, fish, milk, cooking fat, cassava flour and fruit juices.
The rate of price increase of sugar was the highest at 16.4 per cent followed by fish at 6.0 per cent, maize and meat at 5.0 per cent.

For non-food items namely gas and charcoal had a higher rate of price increase than the rest at 11 and 8.3 per cent respectively.

Prof Marjorie Mbilinyi, an economist, blamed the rising prices on the weakening shilling, which has been left free falling to protect the interests of few exporters.

“The central bank governor said recently the depreciation of the shilling is good for exporters, even if it is contributing to the rising cost of living, and a fall in people’s standard of living and rising food insecurity. But what if the rising cost of living results into riots in the streets?” she noted.

She said food is a substantial part of the measure of the cost of living because the poor spend proportionately more on food than the rich.

To get a single US dollar, you now require Sh1,765, which is a drop in the shilling’s value by a whopping 14 per cent since the start of the year. Experts predict the exchange rate reaching Sh2,000 by the end of the year.

Dr Honest Ngowi, a Mzumbe University economics lecturer, projects that the situation could worsen as the shilling remains weak against the dollar while food and oil prices are high. According to Prof Mbilinyi, export dependence of Tanzania’s economy has meant that our financial system is also locked into the global fiscal system.

Right now there is a major crisis looming in the global economy, which is expected to be far worse than that of 2008. Examples include the crisis in EU; the failure of the American economy to increase employment thus shrinking the market for goods produced both in USA and elsewhere.

She adds that the failure of the government and the private sector to create more jobs and strengthen small-scale agriculture, livestock keeping included, is another major cause of inflation.

“Without it, it is impossible to expand the domestic market and trade because of low purchasing power. The small elite class that depends on shopping malls has a preference for imported goods and services and that contributes to inflation,” said the Prof.

“What is needed is the expansion of local production for local consumption, which depends on having masses of people who are employed and have dispensable incomes to purchase not only food but other necessities,” argues Prof Mbilinyi.

The Uganda annual headline inflation rate for the year-ending September 2011 increased to 28.3 per cent from 21.4 per cent at the end of August 2011.

Kenya’s overall inflation rate increased to 17.32 per cent in September 2011 from 16.67 per cent recorded in August 2011. The increase is attributed to higher food inflation rate (24.37 per cent) registered in year ending in September 2011.



Waziri Mkulo anatia kichefuchefu! Wakati mdororo wa uchumi awamu ya pili (June 2011) alisema madhata yake hayatoweza kutuathiri! Wameambiwa jinsi tatizo la umeme litakavyoathiri thamani ya Tshs wakabisha na kusema Free Economy tunayofuata kushuka thamani kunaongeza mapato kwa exporters (sijui kama Ndullu na Mkulo wanajua hawa jamaa income yao inayorudi kusaidia maisha ya wa Tz waliowengi ni asilimia ngapi-si mtaalam ila NAJUA NI CHEMBE NDOGO MNO)

Mkutano wao ni wakututia matumaini zaidi. Hautokuja na lolote jipya na joto ya jiwe itazidi kutuchoma tuu!

Mungu atusaidie Tz, ila msaada toka kikao hiki ni sawa na kutibu Malaria kwa dawa ya maumivu (mfano Asprin)..ukiamka siku inayofuata hali yako ni mbaya zaidi ya jana
 
Mie napendekeza Mzee wa KUTA aka NNAPE aende wizarani hapo akasafishe uozo uliopo. Nina imani akitoka hapo hiyo wizara watakuwa wameshika mstari nyoofu wa kurekebisha shilingi yetu.
 
Tulionywa na Dr wa ukweli Slaa...nanukuu

"KUMCHAGUA TENA KIWETE NI JANGA LA KITAIFA...!"
na sasa ni mwaka mmoja tu cha moto tunakiona..! jamaa anaongeza mbunye tu!

Ndio maana hakuna sababu ya kumuacha huyu msanii aendelee mpaka 2015. Ni lazima ashinikizwe ili aachie ngazi. Kule Magamba wanataka kumvua uenyekiti kwa kushindwa kukiendesha chama chao cha magamba, lakini hawazungumzii kabisa kumvua madaraka kama kiongozi wa nchi maana kuna ushahidi wa kutosha kabisa kwamba uongozi wa nchi umemshinda kabisa.
 
Mara nyingi vibarghashia na kanzu zikijipanga pale juu, mambo yana kwenda ndivyo sivyo. Kumbuka enzi za Mwinyi na Malima, inflation ilikuwa ina inapaa. Huyu nae, vilevile! Heri ya enzi za muuza nchi iflation ilikuwa somehow better!

Na hili nalo linahusu dini au ni uwezo wa utendaji kazi wa mhusika?
Chama
Gongo la Mboto DSM.
 
Hawa kina Ndullu uprofesa wao unaisaidia nini tz. Monetary policy yetu inashindwa vibaya!
 
Hembu wajiuzuru bwana, tupate vichwa vipya vinavyoweza kwenda na wakati na speed hii ya mageuzi. Majority ya Mawaziri wetu, hawawezi mawimbi haya, jiuzuruni tu.
 
Hivin huyu kichwa cha nazi alipokuwa UDSM alisoma Degree ya Economics au political economy?
"Suala la kupanda kwa gharama za umeme ni issue ya kibiashara na wanasiasa wasiingilie" by Jakaya Kikwete ( Jan 2011). Hakujua au hajui madhara ya kupanda kwa umeme katika nchi yake> cost of production hajui maana yake nini na kuwa yeye aweza compete na other states products bila wasiwasi. Tumelimchagua kwa mbwembwe na tambo kibao hakuna wa kulaumu mwingine. Chaguo la Mungu!!Hakika tusimchezee Mungu tena kwa mara nyingine kwa maono yasiyona mashiko.
 
quote_icon.png
By dotto "Suala la kupanda kwa gharama za umeme ni issue ya kibiashara na wanasiasa wasiingilie" by Jakaya Kikwete ( Jan 2011)"
Hii nimenichukiza!!! how come rais aseme kitu kinachotuumiza yeye hawezi kutafuta ufumbuzi hata kwa kuwaita wataalamu wamshauri achukue hatua gani kudhibiti hali hii??
 
Hawa kina Ndullu uprofesa wao unaisaidia nini tz. Monetary policy yetu inashindwa vibaya!

Kuna Mtu aliwahi kuandika hapa siku za nyuma kwamba Ndullu ni kichwa sana, nikauliza kama huyu jamaa ni kichwa ilikuwaje madudu ya EPA ambapo $133 millioni zilikwapuliwa hakuyaona? Hakukuwa na jibu. Halafu akaja kutoa kauli ya kushangaza sana kuhusu noti mpya kutoa rangi.
 
Mkulo for crisis meeting as inflation nears 17pc

Monday, 17 October 2011 22:57
digg

By Alawi Masare
The Citizen Reporter
Dar es Salaam.

Finance and Economic Affairs minister Mustafa Mkulo has called a crisis meeting to find ways of taming the high cost of living indicated by rising inflation rate that has reached 16.8 per cent, the highest in a decade.With the freefalling shilling, unreliable electricity supply and food shortages, the rising commodity prices have eroded the purchasing power of Tanzania's low income earners, pushing inflation levels to double digit since June.

Mr Mkulo said a meeting scheduled for this week will bring together experts from the Treasury, central bank and other key government departments to plan on how to bring relief to the citizenry in the face of spiralling prices.
"The matter is serious. The central bank governor (Benno Ndulu) and I will both attend the meeting to see what we can do to address the situation," he told The Citizen yesterday in a telephone interview.

The annual headline inflation rate for the year ended September increased from 14.1 per cent in August and economists worry that the rate would reach 20 per cent by the end of the year unless appropriate steps, including stabilising the shilling and putting an end to the power crisis, are not taken.

The highest inflation rate in the last ten years was in March 2009 when it reached 13 per cent.
Things started going awry in June at the height of the power crisis and food shortages when inflation reached a double digit of 10.9 per cent after a 15-month reign of a single digit inflation rate.

Food and energy prices exerted the most pressure on the inflation with food inflation rising to 21.3 per cent from the 17.4 per cent in August.

Food items that contributed to the increase in prices include sugar, maize, meat, bread, pastry, fish, milk, cooking fat, cassava flour and fruit juices.
The rate of price increase of sugar was the highest at 16.4 per cent followed by fish at 6.0 per cent, maize and meat at 5.0 per cent.

For non-food items namely gas and charcoal had a higher rate of price increase than the rest at 11 and 8.3 per cent respectively.

Prof Marjorie Mbilinyi, an economist, blamed the rising prices on the weakening shilling, which has been left free falling to protect the interests of few exporters.

"The central bank governor said recently the depreciation of the shilling is good for exporters, even if it is contributing to the rising cost of living, and a fall in people's standard of living and rising food insecurity. But what if the rising cost of living results into riots in the streets?" she noted.

She said food is a substantial part of the measure of the cost of living because the poor spend proportionately more on food than the rich.

To get a single US dollar, you now require Sh1,765, which is a drop in the shilling's value by a whopping 14 per cent since the start of the year. Experts predict the exchange rate reaching Sh2,000 by the end of the year.

Dr Honest Ngowi, a Mzumbe University economics lecturer, projects that the situation could worsen as the shilling remains weak against the dollar while food and oil prices are high. According to Prof Mbilinyi, export dependence of Tanzania's economy has meant that our financial system is also locked into the global fiscal system.

Right now there is a major crisis looming in the global economy, which is expected to be far worse than that of 2008. Examples include the crisis in EU; the failure of the American economy to increase employment thus shrinking the market for goods produced both in USA and elsewhere.

She adds that the failure of the government and the private sector to create more jobs and strengthen small-scale agriculture, livestock keeping included, is another major cause of inflation.

"Without it, it is impossible to expand the domestic market and trade because of low purchasing power. The small elite class that depends on shopping malls has a preference for imported goods and services and that contributes to inflation," said the Prof.

"What is needed is the expansion of local production for local consumption, which depends on having masses of people who are employed and have dispensable incomes to purchase not only food but other necessities," argues Prof Mbilinyi.

The Uganda annual headline inflation rate for the year-ending September 2011 increased to 28.3 per cent from 21.4 per cent at the end of August 2011.

Kenya's overall inflation rate increased to 17.32 per cent in September 2011 from 16.67 per cent recorded in August 2011. The increase is attributed to higher food inflation rate (24.37 per cent) registered in year ending in September 2011.


hapo kwenye red kwa nini wawe experts kutoka serikalini tu inamaana private sectors hakuna watu wa kushauri?
 
Jkwete's Gvt. Knows Nothing about economic management, No production, no effective tax systems, neither serving! What this damn government know is only SPENDING. I mean, Luxurious spending!
 
Back
Top Bottom