MKUKUTA Phase I: Maoni yako

MMKJJ,
Asante kwa maswali yako mazuri na pertinent.
Hicho ulichokiuliza ndicho haswa MKUKUTA/NSGRP wanakiangalia chini ya Cluster 3 ON GOVERNANCE AND ACCOUNTABILITY ambayo ina outcomes zifuatazo:
1. Good governance and the rule of law are ensured
2. Strategic, responsible & trustworthy leaders and public servants in place
3. Democracy, political stability and social cohesion sustained
4. Economic governance enhanced
5. Peace, security and national unity enhanced


Pia ina goals zifuatazo:
  • Structures and systems of governance as well as rule of law are democratic, participatory, accountable and inclusive
  • Equitable allocation of resources with corruption effectively addressed
  • Effective public service framework in place to provide foundation for service delivery improvement and poverty reduction
  • Rights of poor and vulnerable groups are protected and promoted in the justice system
  • Improved personal and material security, reduced crime, elimination of sexual abuse and domestic violence
  • National cultural identities enhanced and promoted.
Hii ina maana kuwa pasipokushughulikia utawala uwe bora usiokuwa na rushwa basi itakuwa ngumu sana kuuondoa umaskini.

Swala hapa ni je, ni kwa kiwango kipi Governance and accountability imefanikiwa MKUKUTA I?

WOS & OTHERS--ELIMU BORA KWANZA. Vinginevyo MKUKUTA II utakuwa ngonjera nyingine. Kwangu mimi 60% ya Gharama ya MKUKUTA wowote ule iende kwenye ELimu. NA PIA KATIKA MKUKUTA II Televisheni ienezwe mpaka vijijini na itumike kama njia kuu ya kutoa elimu husika kwa Wakulima na Watanzania wengine walio nje ya mfumo wa elimu kwa sasa. Bajeti ya Shilingi bilioni 30 kila mwaka itatusaidia sana katika kutumia Televisheni kama ZANA KUU YA KUWAELIMISHA WATANZANIA. Hebu jaribuni kufikiria impact yake kama haya majadiliano yote hapa JF kama pia yangekuwa yanapatikana kwa Watanzania kupitia Televisheni?
 
Kwa faida ya wale wasioelewa undani wa MKUKUTA:

MKUKUTA I ulianza 2005 basically mpango kabambe wa kuondoa umaskini na kutekeleza Malengo ya Millenium yaliyopitishwa na Umoja wa mataifa ambayo Tanzania nayo iliridhia.On MILLENIUM DEVELEOPMENT GOALS pls google ili upate undani wake zaidi.

Huu Mkukuta una Clusters 3:

Cluster I - Growth and Reduction of Income Poverty, - hapa ndio ukuzaji wa uchumi - sustainable broad based growth ina an equitable manner

Cluster II- Improvement of the Quality of Life and Social Well-Being - hapa sasa ndio mambo ya kupata huduma kama afya, elimu na kumuondelea mwananchi zahama za maisha ya kila siku aweze kuishi na kujikimu

Cluster 111: Governance and Accountability - hii inaangalia mfumo mzima wa utawala kwa maana ya taratibu, kanuni, mifumo ya utoaji haki pamoja na utawala wa sheria, ushiriki katika siasa, kuondoa rushwa, mambo ya security yaani usalama wa mtu na mali zake nk.
Kwa undani zaidi google upate the full document.

In short MKUKUTA au Mpango wa kuukuza Uchumi na Kuondoa Umaskini, ni mpango kabambe uliowekwa na serikali kama dira ya kupambana na umaskini wa nchi yetu uliokithiri.

Mpango huu awamu ya kwanza itaisha July 2010.Sasa hivi kuna kazi kubwa sna ya kuu review na kufanya maboresho ili MKUKUTA II uwe bora zaidi.Utaratibu unaotumika ni kushirikisha wataalamu na pia wananchi kwa ujumla.Kwa wale wenye kusikiliza redio au kuangalia TV mtaona matangazo kuhusu kupokea maoni na kuyawakilisha serikalini hata kupitia e-mail - mkukutamonitoring@gmail.com

Tutumie fursa hii ili tusiwe wapiga kelele tu humu JF bali tupeleke maoni yetu huko kunakohusika.

MKUKUTA II. Kama utakuwa na Clusters tatu pia, basi hizo Clusters ziwe

CLUSTER I: ELIMU BORA YA SAYANSI na TEKNOLOJIA

CLUSTER II: ELIMU BORA ya MSINGI, UFUNDI, SEKONDARI na ya CHUO KIKUU

CLUSTER III: WAKULIMA KWANZA.
 
Mwanakijiji maoni ya Mkukuta I yashatolewa, yaliyopokelewa yashapokelewa na yaliyowekwa kapuni yashawekwa kapuni - wenzenu wanamalizia Mkukuta II na nasikia ule mhimili wa utawala bora na uwajibikaji washautoa eti uko ndani ya mihimili mingine!

Huu ni upotoshaji jamani. Mihimili yote mitatu ipo!
 
WOS & OTHERS--ELIMU BORA KWANZA. Vinginevyo MKUKUTA II utakuwa ngonjera nyingine. Kwangu mimi 60% ya Gharama ya MKUKUTA wowote ule iende kwenye ELimu. NA PIA KATIKA MKUKUTA II Televisheni ienezwe mpaka vijijini na itumike kama njia kuu ya kutoa elimu husika kwa Wakulima na Watanzania wengine walio nje ya mfumo wa elimu kwa sasa. Bajeti ya Shilingi bilioni 30 kila mwaka itatusaidia sana katika kutumia Televisheni kama ZANA KUU YA KUWAELIMISHA WATANZANIA. Hebu jaribuni kufikiria impact yake kama haya majadiliano yote hapa JF kama pia yangekuwa yanapatikana kwa Watanzania kupitia Televisheni?

Hiki ndicho kinachotakiwa... mapendekezo na siyo critiques ambazo hazitasaidia ...miaka 5 ambapo MKUKUTA I ulitekelezwa kilikuwa kipindi tosha cha ku critique. Tatizo letu watz ni kutokupenda kufuatilia kujua kuna nini kinaendelea.
Nawakaribisha mtafute MKUKUTA ANNUAL IMPLEMENTATION REPORTS - hizi hutolewa kila mwaka na zinapataka katika website ukigoogle Mkukuta utaziona zote.Hapa tunapata taarifa za utekelezaji na mapungufu yake.
 
Wenzenu washaanda Mkukuta II ninyi bado mnajadili Mkukuta I!

Kwa maoni yangu bila kujua mafanikio na mapungufu ya MKUKUTA 1 basi mafanikio ya MKUKUTA II yanaweza kuwa ni madogo sana.
 
Huu ni upotoshaji jamani. Mihimili yote mitatu ipo!

Thibitisha kwa kuweka rasimu ya Mkukuta II! Mimi sielewi mnajadili nini wakati wenzenu wako kwenye Mchakato wa kupitisha Mkukuta II. Mkukuta I sasa ni Historia! Au mnataka baadae muudanganye umma kwa kudai kuwa wadau waliujadili JF - mnaujadili wakati muda wa kuhakiki Mkukuta I umeshapita!
 
Thibitisha kwa kuweka rasimu ya Mkukuta II! Mimi sielewei mnajadili nini wakati wenzenu wako kwenye Mchakato wa kupitisha Mkukuta II. Mkukuta I sasa ni Historia!
My friend..hebu twende taratibu tuelewane kwanza.
1. hii mada niliianza mwaka jana hata kabla ya MKUKUTA II Drafting process
2. Majadiliano yakadorora - jana nikaifufua mada baada ya kuona kuwa sasa kuna process ya drafting ya MKUKUTA II.
3. Kwa vile sasa kuna window ya stakeholders' views na hata matangazo kwenye vyombo vya habari yanaita wananchi wapeleke maoni kupitia e-mail : mkukutamonitoring@gmail, nikaona tusipoteze opportunity.
3.JF tumezoea kuongea tu lakini inapofikia kufanya vitu kila mtu ana back-off!
5. Kwamba drafting ya MKUKUTA II imekamilika - si kweli.Prove me worng!

kwamba nikuwekee MKUKUTA II Draft hapa- hilo siwezi maana mimi siyo drafter bali ni mwananchi mdau kama wewe tu ila nimekuwa pro-active kutafuta nini kinaendelea na kupenda kushiriki kuliko kukaa kando na kusubiri kuja kulalamika.
 
Nawatakia majadiliano mema. Mtaniambia kama mawazo yenu yamo. Siku Mkukuta II itakapozinduliwa rasmi.
 
Can we rename it MKUKUFA? Meaning Mkakati wa Kupunguza Umaskini na Kufufua Uchumi Wa Familia....

To me it will be more significant involving family level in poverty reduction and wealth creation.
 
What is this Mkukuta stuff?
Its the stuff that will guide you to put your money where your mouth is as opposed to putting your mouth where your money is lol.
Just read the thread starter and my subsequent posts..halafu google you will see its elaboration.
 
Njia nzuri ya kuutathmini MKUKUTA ni kutumia taarifa rasmi za serikali na tafiti mbalimbali zilizofanywa kuhusiana na malengo ya mkakati huu. Kwanza ningependa kuwakumbusha ya kwamba MKUKUTA ni mwendelezo wa zile Poverty Reduction Strategy Papers zilizotakiwa kwa ajili ya misamaha na unafuu wa madeni kutoka kwa nchi washirika wa Paris Club.

Taarifa za kutusaidia kutoa maoni zipo nyingi tu kuanzia taarifa za mfumuko wa bei za NBS, hali ya uchumi ya mwaka (sasa zipo kwa kila robo mwaka mpaka 2009 Q1), taarifa za mwenendo wa uchumi kutoka BoT, PHDRs, ILFS, THMIS, DHS 2004 and 2009 (wakijisikia kuitoa), Household Budget Survey ya 2007, VoP 2007 etc.
 
Njia nzuri ya kuutathmini MKUKUTA ni kutumia taarifa rasmi za serikali na tafiti mbalimbali zilizofanywa kuhusiana na malengo ya mkakati huu. Kwanza ningependa kuwakumbusha ya kwamba MKUKUTA ni mwendelezo wa zile Poverty Reduction Strategy Papers zilizotakiwa kwa ajili ya misamaha na unafuu wa madeni kutoka kwa nchi washirika wa Paris Club.

Taarifa za kutusaidia kutoa maoni zipo nyingi tu kuanzia taarifa za mfumuko wa bei za NBS, hali ya uchumi ya mwaka (sasa zipo kwa kila robo mwaka mpaka 2009 Q1), taarifa za mwenendo wa uchumi kutoka BoT, PHDRs, ILFS, THMIS, DHS 2004 and 2009 (wakijisikia kuitoa), Household Budget Survey ya 2007, VoP 2007 etc.

Pia Kuna APRM, MAIRs,
Kuna michakato pia kama PAFs,PEPFAR,PERs n.k
 
Pia Kuna APRM, MAIRs,
Kuna michakato pia kama PAFs,PEPFAR,PERs n.k

Wasaidie baadhi kung'amua hivyo vifupisho, kwa kuanzia tu:

MAIR = MKUKUTA Annual Implementation Report

APRM = Afro Peer Review Mechanism (Yule Prof wao mwenye kuweka fedha za mradi katika akaunti binafsi yu wapi?)

PAF = Performance Assessment Frameworks

PEPFAR = Ile ya Ukimwi?

PERs = Public Expenditure Reviews

MTEF = Medium Term Expenditure Framework


Hizi taarifa watu wanaweza wakazi "Google" tu na watazipata.


Naomba kutoa rai kwamba ni vyema wananchi wakachangamka na kutoa maoni, tathmini na mawazo yao ili ingawa ya kwamba sio yote yatachukuliwa basi na wao watakuwa wameshiriki katika kujaribu kujenga taifa hili kwa fikra thabiti na si lawama tu kila wakati.


Better late than never compadres
 
Wasaidie baadhi kung'amua hivyo vifupisho, kwa kuanzia tu:

MAIR = MKUKUTA Annual Implementation Report

APRM = Afro Peer Review Mechanism (Yule Prof wao mwenye kuweka fedha za mradi katika akaunti binafsi yu wapi?)

PAF = Performance Assessment Frameworks

PEPFAR = Ile ya Ukimwi?

PERs = Public Expenditure Reviews

MTEF = Medium Term Expenditure Framework


Hizi taarifa watu wanaweza wakazi "Google" tu na watazipata.


Naomba kutoa rai kwamba ni vyema wananchi wakachangamka na kutoa maoni, tathmini na mawazo yao ili ingawa ya kwamba sio yote yatachukuliwa basi na wao watakuwa wameshiriki katika kujaribu kujenga taifa hili kwa fikra thabiti na si lawama tu kila wakati.


Better late than never compadres

PATPENDING..Sijui ulikuwa wapi siku zote jamani maana naona wewe unaelewa haswa nini naongelea hapa. Watanzania tusiwe watazamaji tu!
Hiyo PEPFAR ni ile ya UKIMWI-President's Emergency Plan for AIDS Relief (PEPFAR) ya wamarekani
Ila nilimaanisha PEFAR
 
Its the stuff that will guide you to put your money where your mouth is as opposed to putting your mouth where your money is lol.
Just read the thread starter and my subsequent posts..halafu google you will see its elaboration.

Oh thank you very much miss lady.
 
Naomba kuwasilisha baadhi ya vitu vya kusoma ili tuweze kuteta kwa uhakika.
 

Attachments

  • PRSP_PER_And_The_Budget in Tanzania.pdf
    4.5 MB · Views: 64
  • mkukuta_main_eng.pdf
    485.5 KB · Views: 48
  • MTEF Guideline 2008-09.pdf
    539.2 KB · Views: 70
Mnajua si kwamba poeple want to be negative or criticals all the time bali in a sense you give them little options to be anything more. Hii MKUKUTA aiko short of policies if you ask me, yaani ime-cover most of our problems sasa i dont know what else need be added.

Tatizo sio policies zao au mapendekezo yao ambazo mmezileta hapa so far, tatizo ni utekelezaji wake. Instead of kukurupuka kuweka new policies labda wajiulize what was successful, what failed, why they failed and what needs to be done to make it a success.

Hayo yote ni mapendekezo tu MKUKUTA iliyoyaleta, hila ina cost money to implement any of those policies tena a hell lot of it, ndio hapo ninapo jiuliza is it worth adding any more.

Its time waanze ku-set priorities wajue what comes first in terms of priorities, yaani ni zipi zita muwezesha mlalahoi aweze jiinua. Sasa hapa aina maana ya kujenga barara za lami sehemu ambazo azina magari au basi linaenda kwa wiki mara moja. Hila it would make sense kujenga hata ka dispensary kuweza kuwapatia huduma za kila siku waweze kuwa active kwenye kujisaidia.

Instead of kwenda kukazana kuwafundisha kulima watu ambao wanakaa sehemu zenye ukame ni bora ku-incourage entrepreneurship ya miradi midogo midogo you get the idea.

Hita make a lot of sense if MKUKUTA concentrated on two main priorities ikiwa ni Elimu na Afya na ndipo hapo najiuliza au some of us tunaona ni hadithi hizi. These things are not cheap na vina cost hela.

Kufundisha uanhitaji walimu wengi, kwa sasa kwa jinsi tunavyosoma humu JF currently inaoneka kuna uhaba na shule zenyewe za chini ya mibuyu god knows how you'd educated the masses. Not to mention the quality offered kwa majibu tuliyoyaona ya kidato cha nne na bado kuna wale dropouts hii pekee ni task ya miaka kui-sort.

Kuanza ku-train new teachers, kujenga mashule, kuwapatia vitabu ma-library, kuwapa ajira baadhi ya wazazi wasiojiweza kununua hata hizo Uniform na vitu vyote vinavyo ambatana.

Sasa ukirudi kwenye Afya kuna watu gani wanaitajika hao proffesionals are not easy to train hili waweze tosha kwenye society, ma hospitali hayatoshi wagonjwa inabidi wawekwe chin hata mbele ya mgeni wa Kimataifa. Bado mnataka kuulizia new policies na matakwa yake.

Its all a joke na bado hatujaenda kuangalia policies zenu zingine, this is expensive hivyo its time waangalie realistic goals na wajipange vizuri na pengine waanze kuamisha baadhi ya wafanyakazi wa serikali sehemu zingine ambao wako kwenye pay roll in other sectors it is a mammoth asking kama tunaangalia ukweli. Sasa hapa watu si kuwa negative bali ndio ukweli wenyewe.
 
Back
Top Bottom