Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,476
- 39,995
Mwenzenu nimeamua kujifunza kwa kina huu Mkakati wa Kukuza Uchumi na Kupunguza Umaskini Tanzania (MKUKUTA). Kwanza kwa sababu nasikia huwezi kuzungumzia mipango ya maendeleo bila kujadili au kujua MKUKUTA. Lakini pili kwa sababu watu wengi hawajui MKUKUTA kwa kina kinachostahili na hasa kwa sababu sehemu ya pili ndio inaelekea kuanza kwa kasi zote.
Swali ni kwa kiasi gani wananchi na watendaji mbalimbali wanajua juu ya MKUKUTA; jinsi gani watu wanajua unavyowagusa; na jinsi gani watu wanatakiwa kujua ili kuweza kuufanikisha?
Je wewe unaujua? kwa kiasi gani?
Swali ni kwa kiasi gani wananchi na watendaji mbalimbali wanajua juu ya MKUKUTA; jinsi gani watu wanajua unavyowagusa; na jinsi gani watu wanatakiwa kujua ili kuweza kuufanikisha?
Je wewe unaujua? kwa kiasi gani?