donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,258
- 22,130
Salam wakuu,
For a long time now nilikua nasikia myths kuhusu swala la utamaduni wa wamasai kwamba mwanaume mwenzako anaweza kuja kufanya mapenzi na mkeo na ukikuta mkuki nje ya nyumba yako unatakia kuuchuna hadi huyo kidume mwenzako amalize haja zake. Daaah kwa kweli hii mila kama ipo ni hatare yaan kuvumilia mtu amgegede mkeo kiroho safi hadi amalize? And kama akiamua kulala hadi kesho yake ndio inabidi tu usugue benchi kumsubiri kidume mwenzako. Sema nini? Kama wooote tungekua ni jamii ya maasai, ningependa kutembelea boma za wakuu wafuatao kusimika mikuki nje ya nyumba zao:
Bishanga
MziziMkavu
The Boss (nothing personal Capo Di Capi)
Mashaxizo
SIMplicty etc. (Juz kiddn thou)
For a long time now nilikua nasikia myths kuhusu swala la utamaduni wa wamasai kwamba mwanaume mwenzako anaweza kuja kufanya mapenzi na mkeo na ukikuta mkuki nje ya nyumba yako unatakia kuuchuna hadi huyo kidume mwenzako amalize haja zake. Daaah kwa kweli hii mila kama ipo ni hatare yaan kuvumilia mtu amgegede mkeo kiroho safi hadi amalize? And kama akiamua kulala hadi kesho yake ndio inabidi tu usugue benchi kumsubiri kidume mwenzako. Sema nini? Kama wooote tungekua ni jamii ya maasai, ningependa kutembelea boma za wakuu wafuatao kusimika mikuki nje ya nyumba zao:
Bishanga
MziziMkavu
The Boss (nothing personal Capo Di Capi)
Mashaxizo
SIMplicty etc. (Juz kiddn thou)
Last edited by a moderator: