CharmingLady
JF-Expert Member
- Apr 16, 2012
- 18,304
- 12,997
Happy holiday guys....
First Scenario....
Huyu mkaka alihamia Dar akitokea mkoani (Sitaki maswali mkoani ndo wapi tafadhali, cha muhimu unaelewa) alipofika Dar akatafuta mpenzi kama kawaida, huko mkoani alimuacha mchumba ambaye keshafanya process zote imebaki miezi minne tu ndoa ifungwe. Sasa basi akampata dada P, akamwambia eeh bana mie nilikuwa na mpenzi "sio mchumba tena" huko Mkoani, ila kwa vile nimehamia hapa Dar sidhani kama tutadumu uzingatia distance relationship ni ngumu sana kusurvive. Mdada akajaa, hao wakawa wapenzi... Siku ya siku wakatoka out bana, mkaka akakutana na marafiki zake wanaomfahamu tokea hukooo Mkoani....
Si wakaanza kumpongeza mkaka, hongera bana, huyu ndo mtarajiwa?? Mkaka akawa anapotezea kiaina ila mdada machale yakawa yanamcheza... Mmmmh...... Ila wanaume bana, nimewanyooshea mikono, mdada kuuliza akaambiwa ni utani.... Basi kila wanapokuwa pamoja, mkaka akipigiwa simu na mchumba wa Mkoani anaongea kwa ukali sana as if hamtaki kumbe ilikuwa danganya toto!!! Mwisho wa siku.mdada aliconfirm kuwa hawajaachana ikabidi ajiweke pembeni na mkaka akamuoa yuleee mchumba wa Mkoani.
Second Scenario.....
Huyu pia kahamia Dar akitokea Mkoani, ana mchumba huko Mkoani na baada ye miezi minne anakwenda kutoa mahari.... kapata msichana mrembo zaidi kuliko mchumba wa Mkoani, mapenzi yamekolea haswaaa mpaka mdada anashukuru Mungu kuwa kapata mume... Masikini angelijua anadanganywa asingejiachia kiasi hiko, namuonea huruma i wish nimwambie ila mmmh... Lisilonihusu!! Jamani wanaume muwe na huruma, si bora uwe muwazi mie nina mchumba kama vp tumegane kisera kuliko kuwahadaa wadada kiasi hiko!!!!!
Third scenario.....
Sasa huyu jamaa kiboko, kwanza ameoa ana kama miaka 2 katika ndoa, mbali na kuwa katika ndoa kabla hajaoa alizaa na wanawake wawili tofauti ila hakuwaoa, kaja kaoa mwanamke mwingineeee kabisaaa.... Basi kakutana na bidada, hapa naona alijaribu kuuma na kupuliza. Kamwambia kabisa mie nimeoa ndio, ila simpendi kabisa mke wangu nahisi aliniroga. Sasa wewe nizalie mtoto afu nitakuoa, nitaachana na mke wangu. JAMANI UONGO MWINGINE HAUNA MASHIKO KABISAAAAA.... Bidada kagoma, basi jamaa kuona hivo si akamwambia bidada kama huamini basi twende nikajiatambulishe kwenu....
Haooo mpaka kwao na bidada kujitambulisha ila kwa sharti la kutosema kama keshaoa, basi akajitambulisha na bidada si akabeba mimba!!!! DAH... HAPA KIUKWELI ALIBUG MEEEN.... Bahati mbaya alipata miscariage ikawa pona yake, alikalishwa kitimoto na mashost mpaka kikaeleka... Saiv naona ameeanza kupata akili kuwa alikuwa anadanganywa kweupeeee.....
Jamani hivi kwa scenario kama hizo yatashindwa kutokea ya akina Ufoo Saro?? Katika 1st scenario unadhani mdada atakuja kumpenda sana mwanaume atakayempata???
2nd scenario... Sijui itakuwaje mdada akigundua anadanganywa, i wish nimwambie ila mmmmhhh.... :tape: :tape:
3rd scenario huyu mwanaume ni muuaji....
First Scenario....
Huyu mkaka alihamia Dar akitokea mkoani (Sitaki maswali mkoani ndo wapi tafadhali, cha muhimu unaelewa) alipofika Dar akatafuta mpenzi kama kawaida, huko mkoani alimuacha mchumba ambaye keshafanya process zote imebaki miezi minne tu ndoa ifungwe. Sasa basi akampata dada P, akamwambia eeh bana mie nilikuwa na mpenzi "sio mchumba tena" huko Mkoani, ila kwa vile nimehamia hapa Dar sidhani kama tutadumu uzingatia distance relationship ni ngumu sana kusurvive. Mdada akajaa, hao wakawa wapenzi... Siku ya siku wakatoka out bana, mkaka akakutana na marafiki zake wanaomfahamu tokea hukooo Mkoani....
Si wakaanza kumpongeza mkaka, hongera bana, huyu ndo mtarajiwa?? Mkaka akawa anapotezea kiaina ila mdada machale yakawa yanamcheza... Mmmmh...... Ila wanaume bana, nimewanyooshea mikono, mdada kuuliza akaambiwa ni utani.... Basi kila wanapokuwa pamoja, mkaka akipigiwa simu na mchumba wa Mkoani anaongea kwa ukali sana as if hamtaki kumbe ilikuwa danganya toto!!! Mwisho wa siku.mdada aliconfirm kuwa hawajaachana ikabidi ajiweke pembeni na mkaka akamuoa yuleee mchumba wa Mkoani.
Second Scenario.....
Huyu pia kahamia Dar akitokea Mkoani, ana mchumba huko Mkoani na baada ye miezi minne anakwenda kutoa mahari.... kapata msichana mrembo zaidi kuliko mchumba wa Mkoani, mapenzi yamekolea haswaaa mpaka mdada anashukuru Mungu kuwa kapata mume... Masikini angelijua anadanganywa asingejiachia kiasi hiko, namuonea huruma i wish nimwambie ila mmmh... Lisilonihusu!! Jamani wanaume muwe na huruma, si bora uwe muwazi mie nina mchumba kama vp tumegane kisera kuliko kuwahadaa wadada kiasi hiko!!!!!
Third scenario.....
Sasa huyu jamaa kiboko, kwanza ameoa ana kama miaka 2 katika ndoa, mbali na kuwa katika ndoa kabla hajaoa alizaa na wanawake wawili tofauti ila hakuwaoa, kaja kaoa mwanamke mwingineeee kabisaaa.... Basi kakutana na bidada, hapa naona alijaribu kuuma na kupuliza. Kamwambia kabisa mie nimeoa ndio, ila simpendi kabisa mke wangu nahisi aliniroga. Sasa wewe nizalie mtoto afu nitakuoa, nitaachana na mke wangu. JAMANI UONGO MWINGINE HAUNA MASHIKO KABISAAAAA.... Bidada kagoma, basi jamaa kuona hivo si akamwambia bidada kama huamini basi twende nikajiatambulishe kwenu....
Haooo mpaka kwao na bidada kujitambulisha ila kwa sharti la kutosema kama keshaoa, basi akajitambulisha na bidada si akabeba mimba!!!! DAH... HAPA KIUKWELI ALIBUG MEEEN.... Bahati mbaya alipata miscariage ikawa pona yake, alikalishwa kitimoto na mashost mpaka kikaeleka... Saiv naona ameeanza kupata akili kuwa alikuwa anadanganywa kweupeeee.....
Jamani hivi kwa scenario kama hizo yatashindwa kutokea ya akina Ufoo Saro?? Katika 1st scenario unadhani mdada atakuja kumpenda sana mwanaume atakayempata???
2nd scenario... Sijui itakuwaje mdada akigundua anadanganywa, i wish nimwambie ila mmmmhhh.... :tape: :tape:
3rd scenario huyu mwanaume ni muuaji....