Mtego wa Noti
JF-Expert Member
- Nov 27, 2010
- 2,591
- 1,599
Hi wanaJF, hivi majuzi nilimsikia Waziri wa Mazingira akisema kuwa kuna Mpango unaoitwa MKUHUMI unaolenga kusaidia kupunguza uharibifu wa misitu katika kukabiliana na mabadiliko ya Tabia nchi. Hivi ndio nini hiki kitu? Mnadhani ni kitu chema kwa nchi? Mwenye taarifa kuhusu huu mpango anisaidie niufahamu kwa undani zaidi maana mimi ni mwanaharakati wa mazingira pia...Nawasilisha!!!