wanawake wengi wa mkoa wa mbeya haswa maeneo ya tunduma, wanapenda kufanya hivi sijui kwanini, uwezo wa hela mdogo, au elimu, au ni maamuzi tu. mimi inanikera sana. mtu usoni anakuwa milinda, miguu na mikono peps
Ila kusema ukweli Nimetokea kuwachukia sana wadada au wanawake wanaotumia mkorogo yaani huwa najisikia kichefuchefu nikiwaona pia wavaao mawigi wananikera sana.....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.