Mkorogo noma

Mkorogo noma

VAN HEIST

JF-Expert Member
Joined
Aug 26, 2014
Posts
1,434
Reaction score
617
1416405258094.jpg
 
wanawake wengi wa mkoa wa mbeya haswa maeneo ya tunduma, wanapenda kufanya hivi sijui kwanini, uwezo wa hela mdogo, au elimu, au ni maamuzi tu. mimi inanikera sana. mtu usoni anakuwa milinda, miguu na mikono peps
 
thubutu wanyaki hatuko hivyo huyo mzambia tena m wemba 'shani iwe mkamba?
 
Ina maana anapojipaka huo mkorogo anasahau kujipaka na kwnye mikono?
 
Mkutwanalila uswe vanyakyusa!!!

Mweeeeeh!!

Ila kusema ukweli Nimetokea kuwachukia sana wadada au wanawake wanaotumia mkorogo yaani huwa najisikia kichefuchefu nikiwaona pia wavaao mawigi wananikera sana.....
 
kwny viwiko, magoti na vidole ni ngumu xana kubadilisha rangi ndo hapo panapowaumbua wengi wanaojichubua
 
Back
Top Bottom