Peramiho yetu
JF-Expert Member
- May 25, 2018
- 5,304
- 14,913
Hawa viongozi Wana nini?
Hali ya maisha inazidi kuwa ngumu BIDHAA za mazao zinapanda Bei kila uchao mkulima haangaliwi na serikali yake kabisa maana Bei ya MBOLEA viwatilifu na mbegu zipo juu Sana
Tanzania in vyanzo vingi vya maji lakini miundombinu ya umwagiliaji hakuna na haijengwi iliyopo imechakaa
Leo tumepata hela labda tuiinue hii sekta tunapeleka maeneo ambayo siyo kipaumbele
Mkikaa bungeni mnasema asilimia 75 ya watanzania wamejiajiri katika kilimo lakini hamtoi uwezeshi
Ila Zanzibar miaka kumi ijayo itakuwa mbali sana
#bringback tanganyika
Hali ya maisha inazidi kuwa ngumu BIDHAA za mazao zinapanda Bei kila uchao mkulima haangaliwi na serikali yake kabisa maana Bei ya MBOLEA viwatilifu na mbegu zipo juu Sana
Tanzania in vyanzo vingi vya maji lakini miundombinu ya umwagiliaji hakuna na haijengwi iliyopo imechakaa
Leo tumepata hela labda tuiinue hii sekta tunapeleka maeneo ambayo siyo kipaumbele
Mkikaa bungeni mnasema asilimia 75 ya watanzania wamejiajiri katika kilimo lakini hamtoi uwezeshi
Ila Zanzibar miaka kumi ijayo itakuwa mbali sana
#bringback tanganyika