King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 60,371
- 88,567
Arusha mnapatikana pia? Mna Tawi? Nataka laki 5,dhamana ni nini?SEGUIN CREDIT INVESTMENTS
Inapenda kuwataarifu watumishi wa idara zote za serikali kuwa inatoa mikopo ifuatayo ndani ya dakika 15 tu:
a) Mikopo ya dharura
b) Mikopo ya mtaji au kupanua biashara
c) Ada za shule.
- Mikopo inayotolewa ni kuanzia Tsh 100,000 hadi 1,000,000 kwa riba nafuu sana.
- Muda wa marejesho ni kuanzia miezi mitatu hadi sita.
Fika ofsini kwetu Keko Dar au njoo PM kwa maelezo zaidi
Pm for more information