Mkopo wa riba nafuu

Mkopo wa riba nafuu

SEGUIN CREDIT INVESTMENTS
Inapenda kuwataarifu watumishi wa idara zote za serikali kuwa inatoa mikopo ifuatayo ndani ya dakika 15 tu:
a) Mikopo ya dharura

b) Mikopo ya mtaji au kupanua biashara

c) Ada za shule.

- Mikopo inayotolewa ni kuanzia Tsh 100,000 hadi 1,000,000 kwa riba nafuu sana.
- Muda wa marejesho ni kuanzia miezi mitatu hadi sita.


Fika ofsini kwetu Keko Dar au njoo PM kwa maelezo zaidi

Pm for more information
Arusha mnapatikana pia? Mna Tawi? Nataka laki 5,dhamana ni nini?
 
Arusha mnapatikana pia? Mna Tawi? Nataka laki 5,dhamana ni nini?
Ndio tupo Arusha pia hakikisha wewe ni mwajiliwa unaelipwa mshahara kupitia bank kwani hiyo ndio dhamana yako. Hatupokei kadi za gari wala hati za nyumba
 
Ndio tupo Arusha pia hakikisha wewe ni mwajiliwa unaelipwa mshahara kupitia bank kwani hiyo ndio dhamana yako. Hatupokei kadi za gari wala hati za nyumba

Da sijaajiriwa ni mjasiliamali,nauza mkaa kwa jumla,mpo arusha sehemu gani niwaone mje kuangalia store yangu ya mkaa ilipo na sehemu nayofanyia biashara ndogo ndogo za genge.
 
Kosa sio lako bali aliyekuandaa kibiashara.
Mteja wako humjui so usidharau mtu.
Pia unapimwa kwa kauli zako lazima uwe mpole na MWEREVU kujibu.
Vipi mteja akionyesha kukebehi biashara yako inabidi umvumilie tu?
 
Yani ukiona biashara ya hela ina promo mmh?
 
Unaweza kumjibu kwa upole na hekima hadi aone aibu.
Kitendo cha kumjibu vizuri kitakuongezea credit kwa wasomaji kiasi cha kutamani wakuungishe.
Kauli huza biashara sana
Nashukuru kwa semina fupi
 
Back
Top Bottom