Dark City
JF-Expert Member
- Oct 18, 2008
- 16,253
- 11,598
- Thread starter
- #21
hahahaha.... Mzee DC naona niondoke hapa tutaharibu thread. WARNING:- In this world of today usimkaribishe karibu Mwanamke, let alone mwanadamu yeyote kwa kumuamini moja kwa moja akijua umetoka kupata mabillion. We could be so evil we species... Pamoja Saana DC. Best of Lack.
Haya ni kama yale maandishi yanayoandikwa kwenye paketi ya sigara baada ya kupigwa ma Adverts ya nguvu??
Ila pia kuna uzuri kwa kuongozana nao kwani hawa viumbe dhaifu hawakawii kusaini blank cheque!!
Babu DC