Hebu weka vizuri basi,
Na wewe ni mhitaji au mtoaji??
Babu DC
Hujanipata Mzee DC, Mimi ni assistant bana...lol.. Incase you will need it.
Tunatukanwa sana kwamba sie ni wavivu wa kufikiri na kutenda. Pia wengine wanasema tunapenda dezo. Na baadhi wameenda mbali kusema kuwa tunaonea wivu watoto wa vigogo ambao wanaweza kukopa 15b bila security ya maana!!
Mie nataka mwaka huu nivunje huo mwiko.....
DC!!!
Kama hizo sababu ndio zimekusukuma kuchukua huo mkopo then nakushauri achana nao. Mzee DC Mkopo (tena mkubwa hivo) unatakiwa strategies... na hizo strategies ni lazima zihusishe wewe kutambua ni nini unataka kufanya, ni nini/wapi malengo yako wataka yawe baada ya mda wa range fulani (lets say miezi 6 ya mwanzo, ya pili, ya tatu na kuendelea); Na kingine kikubwa ni vizuri ukakopa kwa malengo ya kuendeleza biashara as opposed to kuanzisha, otherwise uwe na pesa nyingine mkononi, soko reliable na guranteed production.
Ahhaaaaaaaahh,
Kwa hiyo weewe ni miongoni mwa wale wataalamu wa kuandika miradi ya kuombea mikopo au ni assistant wa kusindikiza wanaoenda bank kupiga sound?
Hebu kuwa wazi bwana, akili zenyewe hizi zimeshapita menop...!!
Babu DC!
ADii,
Niko serious sana....Nataka mkopo wa kunikwamua. Sitaki kukopa pesa mbuzi!!
Wewe nirushie taarifa tu...Nitaku-acknowldege katika andishi langu!!
hadi m 30 nenda nmb au akiba hayo mabilioni usiende hukoAhsante smile,
Naogopa kukusumbu, nitafutuatilia
Babu DC
Ruksa kabisa mkuu,
Hapa naamini tutakutana....wale wenye shida kama yangu na wale wanaotafuta wateja wa kuwakopesha!!
Hujapotea njia kamanda!!
hadi m 30 nenda nmb au akiba hayo mabilioni usiende huko
Mimi niko pamoja na wewe, mimi ndio wale ambao inabidi muongozane kwa Loan officer kupiga porojo....lol
Kila la Kheri mzee DC uweze kupata.
mimi nipo kama ni biashara hadi m 30 nenda acb au nmbAhsante smile,
Naogopa kukusumbu, nitafutuatilia
Babu DC
Inaonekana wewe ni mtu muhimu sana kwangu, itabidi nitutumie nivunje ukimya,
Katika hili...Niko tayari ku-flirt responsibly, wewe je???? .... (joke)!!!!
Babu DC!!