mkopo kwa post-graduate!

gracious86

JF-Expert Member
Mar 25, 2011
437
54
hellow wadau! Hivi et mtu akitaka kusoma masterz anaweza kuomba mkopo kwa HELSB? Inanichanganya sana akili! Na kama ni ndio, je, ni qualifications gani hasa wanazoangalia kutoa mkopo kwa postgraduate? Au wanatazama G.P.A ya bachelor?.plz help....
 
Mi nanavyofahamu ni kwa wale wanaofundisha vyuoni. Yaani ma TA ili wawe malecturer
 
Back
Top Bottom