gracious86
JF-Expert Member
- Mar 25, 2011
- 437
- 54
hellow wadau! Hivi et mtu akitaka kusoma masterz anaweza kuomba mkopo kwa HELSB? Inanichanganya sana akili! Na kama ni ndio, je, ni qualifications gani hasa wanazoangalia kutoa mkopo kwa postgraduate? Au wanatazama G.P.A ya bachelor?.plz help....