Wakuu samahan naomba kuuliza kuna mwanafunzi mwenye diploma aliyechaguliwa kujiunga degree amepata mkopo? kama upo naomba kufahamu umemaliza diploma mwaka gan? maana mim nimemaliza diploma 2013 na nimechaguliwa 'Petroleum Engineering' ni kozi ya kipaumbele lakin mpaka sasa hola. Sasa nataka kujua ni mim tu mwenyewe au diploma tumepigwa chini? au tumepelekwa batch za mwisho kama walivyotufanyia Nacte?