Kama ni tangazo halijakidhi madhumuni kwa kumwonyesha huyo jamaa aliyetishika na kutoa macho hivyo!
Ulidondosha mokonosweta ukiwa 18yrs nini mkuu...:hat::hat:Kushinda umevaa khanga kwa mwanaume sio jambo rahisi
hii imenikumbusha ilipokuaga zamu yangu nilirusha miguu hadi manesi wakajazana kuja kunishika ili nisijitetee. Ilikua shughuli.
Ni tangazo!
Ulidondosha mokonosweta ukiwa 18yrs nini mkuu...:hat::hat:
umeona jamaa alivyotoa macho akidhihirisha kuwa hii mambo ni hatari, sasa sijui ndo lilikuwa lengo lao au vipi mi sijaelewa Baba V
Kushinda umevaa khanga kwa mwanaume sio jambo rahisi
hii imenikumbusha ilipokuaga zamu yangu nilirusha miguu hadi manesi wakajazana kuja kunishika ili nisijitetee. Ilikua shughuli.
Hahahahaaa🙂 Umenikumbusha tohara za O-level sekondari za bweni enzi za MWALIMU...Wanafunzi waliotahiriwa wanawatania wenzao ambao bado hawajapitia zoezi hilo ETI WANA MIFUKO YA KUTOLEA UNGA KWENYE MASHINE YA KUSAGA NA KUKOBOA.......Kwa mtazamo mkono wa sweta na kimfuko kitumikacho kutolea unga katika mashine ya kusaga ni kama MAZIWA NA TUI LA NAZI.....
Dondosha mikono ya sweta jamani kupunguza maambukizo ya UKIMWI (na kufanya tendo la ndoa liwe tamu zaidi; kwa mtazamo wangu)
Kama ni tangazo halijakidhi madhumuni kwa kumwonyesha huyo jamaa aliyetishika na kutoa macho hivyo!
Hiki hapa
![]()
Kimependeza japo kwa mtu mzima ni nadra kukikutaHiki hapa
![]()