Mkomoe mwanga

Mkomoe mwanga

Ha ha haa duh! Kuna mtu itabidi nimchome macho na moto

Jiridhishe kwanza kuwa ni mwanga la sivyo itakurudia mwenyewe, kumbuka kwenye like phantom kuna damu yako
 
mkuu Mshana jr naomba unitajie tofauti ya mwanga na mchawi.
 
mkuu Mshana jr naomba unitajie tofauti ya mwanga na mchawi.

Mwanga anakuchosha tu na kukutisha kwa vituko anavyokufanyia usiku lakini hakudhuru
Mchawi hana usiku wala mchana na anachokufanyia kina madhara na kinaumiza
 
Duu nani huyo mtani
kuna mmoja nikilala ananikaba sijui nimemkoseaga nini? halafu ananivizia usiku nikienda kukojoa halafu ile nataka kulala ananigwida kweli kweli nataka kumakamata huyu aniambie kwani nilimkoseaga nini kunikaba vile
 
kuna mmoja nikilala ananikaba sijui nimemkoseaga nini? halafu ananivizia usiku nikienda kukojoa halafu ile nataka kulala ananigwida kweli kweli nataka kumakamata huyu aniambie kwani nilimkoseaga nini kunikaba vile

Duh.kuna mmoja huwa yy ananishika pu.mbu hotel moja Dodoma...kila nikibugi nikalala hapo ni sheshe usiku...
 
na hawa chuma ulete unawafanyaje ili uwanase akivuta pesa yangu nivute zake zote KOMESHA MCHAWI
 
mkuu Mshana jr hivi mwanga hawezi pia kuwa mchawi?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom