Na utajuaje Kama ni mchawi?mchanga alipokanyaga mchawi unaupataje?
Nkitumia bhangi naweza kuwaonaNyingine ni more complicated. .....bhangi
hahahaaaaaaaaaaaaaaaa! da! dadadeki!Choma mfupa wa noa vukiza moshi wake chumbani
Madebe anasema ukiona Shairi hulielewi , haujatungiwa weweAcha papara dogo unakua kama hujielewi embu tulizana kwnz ukiona kama huilewi jaribu tu kuchapa lapa yaani go
Kuna Sehemu misukule unapishana nayo karibu kila siku Asubuhi wanaenda shamba saa 10 wanarudi hawachungwi hata je hii imekaaje,MshanaYeah wale wa level ya chini
Jr![]()
Kuna Sehemu misukule unapishana nayo karibu kila siku Asubuhi wanaenda shamba saa 10 wanarudi hawachungwi hata je hii imekaaje,Mshana
Sent using Jamii Forums mobile app

Nimekisahau hicho Kijiji ,ukiwamgeni tu unapigiwa mahesabu ya kuwekwa msukule,jioni unapishana nao wametoka shamba ,uvaaji wao baadhi yao hua na kaniki nyeupe chafu au matambara ya nguoMmh hii hebu nifafanulie... Kwakuwa misukule huwezi kuona kwa macho ya kawaida
Jr![]()
Hapana nataka nimpige kimyakinya nikimtaja tavunja mashartiMtaje...
Jr![]()
Unahusika kwa asilimia zoteLeo nafundisha live...!!! Kwa wale wasiopenda natanguliza kuomba radhi TUVUMILIANE kuna baadhi wanaohangaishwa yatawafaa
Wanga ni watu hovyo sana hukufanyia mambo ya kukuchosha mwili na vitu vya ajabu ajabu bila faida yoyote
Hivyo basi mtu wa kaliba naye hana budi kupata shida kidogo pale inapobidi
Tafuta ufanikiwe kupata mchanga wa nyayo zake akiwa peku,tafuta ndulele tatu jivu pilipili kichaa au ----- na kipande kidogo cha kaniki....changanya vyote ikibidi twanga ongeza na matone kadhaa ya damu yako kisha funga kaza sana kwenye kipande cha kaniki
1. Sigina na kisigino huku ukinuizia kama unataka miguu imuume
2. Choma na sindano ukitaka miguu ichome chome
3. Banika motoni ukitaka miguu yake iwake moto
4. Kaanga kwenye kikaango kikavu ukitaka miguu imuwashe
Fanya hivi kama unaamini hizi mambo na una roho mbaya ya visasi...kumbuka kuna hukumu siku ya kiama
Sihusiki na matokeo ya matendo yako



