Aaamen na iwe hivyo kama ulivyonena mtumishi... Barikiwa mnoAsante Mungu,Bwana wetu kwa muda huu. Ninasogea mbele zako kwa unyenyekevu. Mungu nisamehe dhambi zangu zote. Mungu nisafishe kwa damu ya Mwano Yesu Kristo. Mungu Baba naomba kibali chako kukomesha uongo na ila zote za shetani na matendo yake na yeye mwenyewe. Asante Mungu kwa kunipa kibali. Uongo, ila zote za shetani na matendo yake na yeye mwenyewe shetani vyote ni magugu, tena magugu makavu sana. Magugu haya nayafunga pamoja. Kwa jina la Yesu Kristo, Mungu wetu aliyeziumba mbingu na dunia tena kwa kupitia Roho Mtakatifu ninawasha moto magugu haya. Nina hakikisha magugu yote yamepata moto. Kwa msaada wa Roho Mtakatifu magugu haya yote yaliyoshika moto nayatumbukiza kwenye ziwa la moto lilo chini sana kuzimu. Na joto la ziwa hilo lisipate tena kuifikia Dunia tunamoishi. Na huo ndiyo mwisho wa magugu haya. Asante Mungu kwani unaenda kudhibitisha maombi yangu kama ulivyonielekeza kuwa kwa kila aombaye atapewa na abishaye hodi atafunguliwa. Ni katika Jina la Yesu Kristo nina Amini utatenda. Amen.
Mara nyingi huwa tunawahisi watu kwamba flani ni mwanga sasa c unaweza fanya hizo mambo alafu kumbe umzaniaye site? Ni dalliance zipi tukiziona zitatufahamisha kwamba mtu huyu ni mwanga? Pia hakuna na kumgandisha ndani kama kaingia? Kuna wanga wengine watoto wadogo vigori yaaani hakuna jinsi ya kumkamata gheto alafu ukambandua?

Kwa ajili ya kutumika kama malighafi kwenye shughuli za kichawi kama kufungwa uzazi kuzaa mtoto mchawi limbwata nkNimewahi kusikia wanga huwa wanachukua mbegu za kiume zina kazi gani hizi? Hii niliisikia miaka flani hivi huko mbezi beach kuna ki dem flani kilipewa vitu kikawa kinasema kwamba huwa kinaweka like jumba la konokono ktk papuchi kisha kinakusanya mzigo wa kutosha kwa ajili ya kazi maalum
Vipi mkuu,kufuga noa na mbwa kunaweza saidia kufukuza wanga?Choma mfupa wa noa vukiza moshi wake chumbani
Shukrani sana kaka.Hasa mbwa.. Noa ni sawa tatizo uchafu
Ndulele ni kitu gani?Leo nafundisha live...!!! Kwa wale wasiopenda natanguliza kuomba radhi TUVUMILIANE kuna baadhi wanaohangaishwa yatawafaa
Wanga ni watu hovyo sana hukufanyia mambo ya kukuchosha mwili na vitu vya ajabu ajabu bila faida yoyote
Hivyo basi mtu wa kaliba naye hana budi kupata shida kidogo pale inapobidi
Tafuta ufanikiwe kupata mchanga wa nyayo zake akiwa peku,tafuta ndulele tatu jivu pilipili kichaa au ----- na kipande kidogo cha kaniki....changanya vyote ikibidi twanga ongeza na matone kadhaa ya damu yako kisha funga kaza sana kwenye kipande cha kaniki
1. Sigina na kisigino huku ukinuizia kama unataka miguu imuume
2. Choma na sindano ukitaka miguu ichome chome
3. Banika motoni ukitaka miguu yake iwake moto
4. Kaanga kwenye kikaango kikavu ukitaka miguu imuwashe
Fanya hivi kama unaamini hizi mambo na una roho mbaya ya visasi...kumbuka kuna hukumu siku ya kiama
Sihusiki na matokeo ya matendo yako