nadhani hela zilitoka BOT zikaenda STANBIC then zikiwa STANBIC Rugemalila akalipwa na pia watu wakenda na MABEGI kuchukua hela kinyume cha taratibu na sheria kuwa hela lazima zipigwe kwa TISS na ndipo mwenye akaunti anaeza kuchukua hela Chash kutoka akaunti yake, kama alivyofanya Mkombozi, wote waliopewa hela ni kwenye akaunti zao, ila zile za STANBIC ni CASH an dnio maana majina hatuyaoni.
Naamini zile bilioni 73 zilizotoka kwa cash within 2 days,kwenye viroba na magunia ya lumbesa, pale Stanbic bila kudislose, majina ya walipwaji, ambayo ni ukiukwaji wa hali ya juu wa taratibu za BoT, ambao hauruhusu transaction yoyote inayozidi kuwithdraw more than 10 million in cash.
Hiyo ndiyo sababu iliyopelekea, Mwenyekiti wa PAC , Zitto Kabwe, alielezee tukio hilo kuwa linawezekana tu kutokea kwenye nchi ambayo mifumo yake ya kiutawala,itakuwa imecollapse, kama vile Somalia.
Sasa hapo ndipo linapokuja swali kubwa kuwa, ni kitu gani kilichofanya vyombo vyote vya ulinzi na usalama, vishikwe na ganzi na kigugumizi katika kulidhibiti tukio hilo siku hizo 2, kama siyo kwa the highest office in our country, 'kulibariki ' tukio hilo?!
Kwa kuwa hakuna siri inayoweza kudumu, inayoimvolve mtu zaidi ya mmoja, naamini kabisa ipo siku, hili suala la ubebaji wa noti kwa viroba na magunia ya lumbesa pale Stanbic, ni lazima one day litakuja bumbuluka tu lazima!