Edoedward1
JF-Expert Member
- Apr 20, 2012
- 795
- 308
Hivi wakristo nao wangekuwa na chuki na ubaguzi kama "mpemba" ingekuwaje? BADILIKENI!!! achen mindset za babu zenu
Mkopaji atalipa amount borrowed plus a share or extra monies paid. Hiyo ya kuzaa sioni relevance yake hapa. sorry.
Kuna tangazo la biashara linaloelezea tawi lao jipya la Kariakoo, katika kuhamasisha wametumia dhana ya mpemba kufikisha ujumbe. Naamini hawakushauri vizuri, kwani hakuna mpemba ataweka pesa zake huko ! Kwani hawako tayari kutangaza vita na Mwenyezi Mungu na Mtume s.a.w
We ndo hujatulia, umeshindwa kuacha nafasi neno hadi neno kwa haraka !Tulia ndugu,unachoandika unakijua,unalazimisha kutojua,mbona voda wameweka wapemba ,wamasai n.k.badala ya kujiona mmependelewa,unaleta hoja mgando.Angewekwa nguruwe vipi?Huna uwezo wa kuwa na hata akaunti.Tulia,acha utoto
Haya sasa ngoja nikupe na 'aya' tufunge mjadala:
" Enyi mlioamini (Waislaam) ! Msile riba mkizidisha juu kwa juu, na mcheni Mwenyezi Mungu ili mpata kufanikiwa " Qur'an: 3:130.
Sasa umeona hicho kinachoongezwa juu kwa juu, kuwa ni riba na si faida !
Kuna tangazo la biashara linaloelezea tawi lao jipya la Kariakoo, katika kuhamasisha wametumia dhana ya mpemba kufikisha ujumbe. Naamini hawakushauri vizuri, kwani hakuna mpemba ataweka pesa zake huko ! Kwani hawako tayari kutangaza vita na Mwenyezi Mungu na Mtume s.a.w
Haya sasa ngoja nikupe na 'aya' tufunge mjadala:
" Enyi mlioamini (Waislaam) ! Msile riba mkizidisha juu kwa juu, na mcheni Mwenyezi Mungu ili mpata kufanikiwa " Qur'an: 3:130.
Sasa umeona hicho kinachoongezwa juu kwa juu, kuwa ni riba na si faida !
kazi ni kwako, wewe sio miongoni mwa wanaoamini !Discriptive, again!
kazi ni kwako, wewe sio miongoni mwa wanaoamini !
Uzuri wa Qur'an, kuna aya za watu wote (huanza kwa kusema: Enyi watu !) na kwa Waislaam tu (huanza kwa kusema:Enyi mlioamini !)
Sasa irudie hiyo aya uone kama inakuhusu ! Yaaani raha !
Wewe huamini ! Kwa maana nyingine we ni Kafiri, hivyo endeleeni kupigiana mnada wa mali za walioshindwa kulipa ! Madhalimu wakubwa !...kwamba nimeoteshwa mgawane faida au hasara?
Kuna tangazo la biashara linaloelezea tawi lao jipya la Kariakoo, katika kuhamasisha wametumia dhana ya mpemba kufikisha ujumbe. Naamini hawakushauri vizuri, kwani hakuna mpemba ataweka pesa zake huko ! Kwani hawako tayari kutangaza vita na Mwenyezi Mungu na Mtume s.a.w
Aaaah ! Wacha kunidanganya bana ! Mungu gani mwenye nguvu halafu ana kamatwa na kupigwa ?Udini utakumaliza wewe. Uislamu ni dini ya mwilini ndo maana mnapambana kimwili, mnachoma makanisa, mnalipua watu kwa mabomu n.k. sana sana mkiingia kiroho mnaishia kuwaroga watu kwa kutumia majini. Hakika nikuambie kuwa bila kumwamini BWANA YESU (MUNGU mwenye nguvu, Mfalme wa Wafalme na BWANA wa amani) utakuja kujutua huko mbele ya safari maana mbinguni huendi.
The same to you ! Thank you !
Ally kombo "bloviating ignoramus"
Wewe adhabu yako ni kupuuzwa !
Udini utakumaliza wewe. Uislamu ni dini ya mwilini ndo maana mnapambana kimwili, mnachoma makanisa, mnalipua watu kwa mabomu n.k. sana sana mkiingia kiroho mnaishia kuwaroga watu kwa kutumia majini. Hakika nikuambie kuwa bila kumwamini BWANA YESU (MUNGU mwenye nguvu, Mfalme wa Wafalme na BWANA wa amani) utakuja kujutua huko mbele ya safari maana mbinguni huendi.
Bora ya wewe umeliona ***** lako !Mpuuzi anapopuuza....Ama kweli nyani haoni Kundule.....
Hapana wanastahili Da'awah !Kwa yeye na imani yake na dini yake UKRISTO ni dhambi inayostahili hukumu ya kifo.
dondoo hazijibiki?Wewe adhabu yako ni kupuuzwa !
hata mawe yalikuepo kabla ya usilamu na yataendelea kuepo tu mpaka itakapotokea supernova na kupukutisha kila kitu kwene sayari hii. so sio ishu sana maana hata huyo aliouanzisha naye keshafwariki. nothing special.tbe.wajiona shujaa mwenyewe!!! hahahaha! ...
vita walitangaza waliokutangualia miaka kenda iliyopita wakafa mpaka leo hii uislam upo na utaendelea kuwepo
mbona tangazo lile la crdb sijasikia wachagga wakilalamika?Ally Kombo ana laana ya ubaguzi, chuki, uchonganishi na hii yote ni frustration ya failure ya ndoto za maisha yake!!!
Kila kukicha yuko bize kutafuta wapi achonganishe au avunje amani za watu............... kama kibela hataenda hiyo benki, basi tangazo lenyewe litakua limeshindwa kushawishi wapemba wajiunge, si lazima kila kitu kije na ushenzi wa kugombanisha watu tu kama mpuuzi ally kombo anavyolazimisha au kufikirisha akili yake