sindesunde
JF-Expert Member
- Dec 21, 2018
- 358
- 346
Mzee wa kyela unatishaMshana Jr, nilidhani dili ni mkojo was sungura kumbe huu ni dili zaidi. Ngoja niseti mitambo yangu vyema.
Si ninaweza uhifadhi KWENYE friji nikawauzia wenye mimba feki?
Mzee wa kyela unatishaMshana Jr, nilidhani dili ni mkojo was sungura kumbe huu ni dili zaidi. Ngoja niseti mitambo yangu vyema.
Si ninaweza uhifadhi KWENYE friji nikawauzia wenye mimba feki?
Boya huyo...Hahaah, mwishoni mwa sredi umenichekesha mkuu One! Eti "Boya wewe"
Halaf kuna jamaa yang flan alikuw ni mtu wa totoz, sasa kila aliyekuw akipita nae lazma aambiwe ana mimba yake na kashagharamikia kuabort kam mimba 5 hv na kila akimaliza kuhudumia inakuwa ndo mwisho wao.
Kuna ka kicheche kamoja kalitaka za hivyo nikakastukia.Kakitaka tukapime hospitali nikakambia kaje nikapime kakagoma baadaye kakadai imoo,niliookabana Sana kakajifanya kameitoa na Mimi nikakabania hapohapo,nikapiga chini.Mji mzito sana huu
Kuna mambo yanaendelea kimyakimya na chini kwa chini huku baadhi wakibaki na vicheko baada ya kupiga pesa ya mabwege na huku wengine wakibaki na majuto na kujiapiza kutorudia tena.
Baadhi ya wanaume wenye macho juu Wamepigwa sana kwenye hili jambo.. Naamini hata kati ya wasomaji watakaosoma hii mada ni wahanga wa hili jambo.
Ujumbe wa BABY NINA MIMBA YAKO.. huwachanganya sana mabazazi na wale wanaojiita mabaharia bila kuwasahau wazee wa mjini... Wazee wa bandari... Unapopata ujumbe kama huu toka kwa mchepuko wako ambaye anaweza kuwa mke wa mtu bandia au halisi, mwanafunzi (halisi au bandia) danga nk unachanganyikiwa kabisa.. Cha kwanza kuwaza ni mkewako nyumbani... Mpenzi wako... Kazi yako ama maisha yako.
Kuna wanawake siku hizi hii ndio biashara yao kubwa na inawalipa vizuri tuu.. Unakutana na binti au mdada mzuri kweli unatupa nyavu zinanasa kimaskhara kabisa lakini unapewa onyo mapema... Mimi ni mwanafunzi au mimi nina mtu wangu au mimi ni mke wa mtu.... Bila kutafakari hilo onyo unasema utafanya siri.. Unakubaliwa unakula mzigo kiboya kabisa
Bila kujijua kuwa uko kwenye foleni ndefu ya kubambikiwa ujauzito feki mwanaume kidume wewe unajiachia kwa raha zako.. Ukimhitaji mtoto unampata unakula anasepa. Na anaweza kabisa awe hakusumbui kwa shida ndogo ndogo.... Usijione mjanja ukadhani umepata... Tambua tu umepatikana
Siku yako ya kupigwa ikifika unapata ujumbe mbaya wa ujauzito na unaambiwa wazi kabisa kuwa hayuko tayari kuzaa kwa wakati huo... Kwahiyo mzee inabidi udhamini mchezo... Na ili kukuaminisha mnaenda wote hospital kupima.. Kumbe tayari mwenzako ana kichupa chake cha mkojo wa mtu mwingine kabisa mwenye ujauzito amekificha kwenye chupi yake
Ni wazi hutamsindikiza mpaka chooni hata akikuomba.. Sana sana utaishia mlangoni.. Yeye huko ndani atabadili tu mkojo toka kichupa alichokuja nacho kwenda alichopewa hospital... Majibu yakitoka... Imooo.. ...
Kifuatacho ni gharama za kutoa mimba tena anachagua Marie Stopes.. Ukikomaa kwenda naye mpaka daktari atapangwa...
Baada ya hapo unahudumia 'mgonjwa' na akipona unapigwa chini.. Mchezo unaendelea kwa maboya wengine....
Wanaonunua mikojo ya waja wazito wengi wao sio kwa ajili ya ushirikina bali kwa ajili ya kuwapiga mabazazi... Najua umesoma huku ukikumbuka pesa ulizotoa kwa ajili ya abortion huku ukijisifu kwa wanaume mwenzako kuwa una mbegu Kali sana.. Ukigusa tu kitu na box... unaibiwaaa...Boya WEWE
Ukiwa unamsimamo hakusumbui,labda kama huna nguvu kwa mkeo,kwangu akijaribu namaliza kesi asubuhi saa1 moja na ushindi juu....namheshimu mke sio kumuogopaalimkomesha. Ndio dawa ya midume isiyotaka kutulia na wake zao. Mtu unajua kabisa huwezi kuhandle matokeo ya dhambi zako unaenda kuchepuka pekupeku unategemea nini
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna 40 wala hamsini,mbona hayo matukio tumepitia na kuyapangua,mke anaejitambua atabaki na ndoa yake40 yako itafika tuu
Ujumbe tumeusikia baharia,sasa tutakua tunafukua mtaro tu ndio family planSasa mabaharia wenzangu kama tulivyoazimia kwenye maazimio yetu ya 2020/2021 ni lazima mimba moja wapewe wababa hata 10. Yani yoyote aliyekupitia hata one night stand wewe mbambikizie tu n hakikisha wote wanhudumia ipasavyo. Kam tulivyokubaliana umakini unahitajika ili usistukiwe.
Na hata kama huna mimba jithidi uwabambikizie mimba hewa kuhusu mkojo tulishaelekezana ni wapi mkojo unapatikana kwa bei nafuu. Msikubali kupimwa mkojo gest maana hapo sio maabara.
Mbinu zote zitumike vizuri kuhakikisha hawastukii mbinu za kivita
Ndio maana nimesema alianzisha jambo ambalo hawezi kuhandle matokeo yakeUkiwa unamsimamo hakusumbui,labda kama huna nguvu kwa mkeo,kwangu akijaribu namaliza kesi asubuhi saa1 moja na ushindi juu....namheshimu mke sio kumuogopa
Kweli nikupe ongera kwa kufikiria na kupata hili na kupost pia.
Ulichopost kina ukweli ndani yake wako wengi wakina mama wa aina hiyo ya kihuni.
Wako na wengine mimba moja baba wa mimba hiyo wako (10) na wote wanaitumikia hiyo mimba na wajuani na kadi za clinic ya mimba zina kuwepo idadi hiyo kila anaetaka aone kadi hupewa ilioandikwa jina lake.
Na vituo vya huduma viko sawa na idadi ya baba wa hiyo mimba hapo upo?
Hii changamsha genge tu mkuu....usiwe serious sanaHakuna 40 wala hamsini,mbona hayo matukio tumepitia na kuyapangua,mke anaejitambua atabaki na ndoa yake
Mkuu najua hilo,sisi wengine matukio tumekutana nayo ya kutosha,umelala kwa mchepuko unapigwa picha anatumiwa wife wewe hujuiHii changamsha genge tu mkuu....usiwe serious sana
Hujakaa kwenye ulimwengu wa human medicine?? Kuna vituko hukooo! Miso dah!
Hii unaweza kuikwepa kama unatumia akili kidogo tu maana kipimo cha mkojo uwa kinasema mimba ina miezi mingapi. Sasa kama wewe unajua ulicheza mwezi mei halafu mimba ina miezi mitano si unajua unapigwa. Ni ngumu sana hapa kumpata mtu ambaye ni smart unless awe amepanga na daktariAkikwambia baby nina mimba yako.. Kamkinge mwenyewe mkojo halafu kanunue KIPIMO mwenyewe upime mwenyewe na bado unahitaji kujiridhisha na tarehe pia
Nlimaliza kibingwa tu,kwanza unakiri umetenda kosa then wife hasira zinapungua,Hiyo pasi unaikwepaje sasa
kwamba kojoa humo kwenye ndoo ntaosha mwenyeweAkikwambia baby nina mimba yako.. Kamkinge mwenyewe mkojo halafu kanunue KIPIMO mwenyewe upime mwenyewe na bado unahitaji kujiridhisha na tarehe pia
Haha noma Sana but UPT inaweza kusoma positive wiki mbili baada ya mimba kutolewaNunua URINARY PREGINANCY TEST. Anachuchumaa chini namuona anaukojoa naupima. Kwisha habar yake. Iko hivi mm ukitaka kunitapeli labda niamue mm kwamba ngoja huyu binadamu nimpe hela anashida sana wacha nimpe kidogo vihela atatue shida zake. Kwa staili hii siwezi pigwa labda ije staili nyingine