BUMIJA
JF-Expert Member
- Oct 19, 2011
- 6,239
- 11,909
- Thread starter
- #21
Mi nipo Ulimakafu mbele,vijijini huku,hali huko vipNa ndio msingi wa ccm upo mkuu njoo huku kiloleni hutajutia mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Mi nipo Ulimakafu mbele,vijijini huku,hali huko vipNa ndio msingi wa ccm upo mkuu njoo huku kiloleni hutajutia mkuu
. Bahati mbaya umechelewa usiku halafu police wa patrol wakudake wakepeleke utuo wakuulize mtaa unaoishi alafu useme NG'AMBO. utajuta siku hiyoHahahahaha ukija Ng'ambo kwetu sasa ndo balaa.
Usiku nshawahi kuporwa nikapiga makelele wakatupa mzigoUmekabwa mara ngapi?
Naendaga Club Oxygen sometimes,wadau wanadai ukichelewa na ukatembea kwa miguu unakula roba. Bahati mbaya umechelewa usiku halafu police wa patrol wakudake wakepeleke utuo wakuulize mtaa unaoishi alafu useme NG'AMBO. utajuta siku hiyo
Ni wizi uliopitiliza, ulevi na ugomvi kwa sana.
Njaa kali sana
Ha ha ha haha kwahiyo jamaa yangu ukalia sana?
Huku petrol na kibiriti tuu
Mkuu kunaka mlima apo kwa juu yake kunashule ya serikali
Siku hiyo nilijua Nina kipaji cha kupiga kelele,wengine nliwakuta wanaiba ndani nikapiga yowe wakatupa godoro kwenye nyasi,wanaiba pasi,bag na stabilizer.Nilijua Nina kipaji cha kupiga kelele sku hiyoHa ha ha haha kwahiyo jamaa yangu ukalia sana?
Ha ha daah,pole sana.
. Ni hatari sana mkuu usitembee usiku wale watoto hawafai kabisaNaendaga Club Oxygen sometimes,wadau wanadai ukichelewa na ukatembea kwa miguu unakula roba
Sent using Jamii Forums mobile app
Kulikua na kamvua nikachelewa kidogo,. Ni hatari sana mkuu usitembee usiku wale watoto hawafai kabisa
Umenichekesha sana mkuuSiku hiyo nilijua Nina kipaji cha kupiga kelele,wengine nliwakuta wanaiba ndani nikapiga yowe wakatupa godoro kwenye nyasi,wanaiba pasi,bag na stabilizer.Nilijua Nina kipaji cha kupiga kelele sku hiyo
Sent using Jamii Forums mobile app
Karibu na msikiti itakua wanaogopa albadiriMinaishi Kanyenye pale karibu na msikitini, huwa nasafiri na nikiacha nyumba bila mtu... mbona sijawahi ibiwa hata makubazi nikiacha pale nje..!!??
Moshi,Dar,Mbeya,Arusha,Mwanza kuna wezi ila wa huku wanapitia Chuo cha mafunzo
Sent using Jamii Forums mobile app