Mkoa wa Songwe jina lilitoka wapi?

pocha2

JF-Expert Member
Sep 23, 2014
890
396
Nimebaki najiuliza for years, hili jina limetoka wapi ? Je si nguvu za kisiasa tuu za watu wa Mbeya, ambao wametupa jina tuu na kichukua vitu vya muhimu? Ili nieleweke,,, kuna issues mbili tatu:

1. Hakuna sehemu ya maana iliyokuwa inaitwa Songwe
2. Kila cha maana chenye jina hilo kilibaki Mbeya, mfano: uwanja wa ndege, kiwanda cha cement, gas ya hellium, n.k
3. Songwe ni jina gumu na halina Mvuto na hata hii wilaya mpya yenye jina kimsingi ingeitwa Chunya B
4. Makao Makuu ya Mkoa wa Songwe yamewekwa Vwawa-Mlowo, Mbozi,
5. Ikumbukwe jina la Mbozi lina-hang kama vile Kilimanjaro na Moshi, Rukwa na Sumbawanga, n.k,
6. Makao makuu ya Mkoa wa Songwe yapo Vwawa Wilayani ya Mbozi (hakuna mji unaitwa mbozi, ukiachia mbali hospitali ya mbozi mission) ambayo yenyewe makao yake Vwawa.

Je haingekuwa busara huu mkoa ukaitwa Mbozi, Vwawa au Mlowo?
 
Mto Songwe huu upo kitambo ..jina la mkoa huu limetokana na mto Songwe, karibu na mto Songwe lipo eneo ambalo kiasilia Linatoa maji moto, pia Kuna mawe ambayo yanakatwa kutengeneza Maru Maru ambazo huuzwa zaidi India lkn pia Kuna mapango makubwa chini ya ardhi
 
Mto songwe huu upo kitambo ..jina la mkoa huu limetokana na mto songwe,karibu na mto songwe lipo eneo ambalo kiasilia Lina toa maji moto,pia Kuna mawe ambayo yanakatwa kutengeneza Maru Maru ambazo huuzwa zaidi India lkn pia Kuna mapango makubwa chin ya ardhi
🤝🤝🤝🤝🤝 shukran kwa elimu ya bure
 
Mto songwe huu upo kitambo ..jina la mkoa huu limetokana na mto songwe,karibu na mto songwe lipo eneo ambalo kiasilia Lina toa maji moto,pia Kuna mawe ambayo yanakatwa kutengeneza Maru Maru ambazo huuzwa zaidi India lkn pia Kuna mapango makubwa chin ya ardhi
Umemaliza.
 
Mto Songwe huu upo kitambo ..jina la mkoa huu limetokana na mto Songwe, karibu na mto Songwe lipo eneo ambalo kiasilia Linatoa maji moto, pia Kuna mawe ambayo yanakatwa kutengeneza Maru Maru ambazo huuzwa zaidi India lkn pia Kuna mapango makubwa chini ya ardhi

Mito mikubwa ipo mingi, uwepo wa mto songwe pekee haikidhi kigezo cha kuleta jina la mkoa
 
Nimebaki najiuliza for years, hili jina limetoka wapi ? Je si nguvu za kisiasa tuu za watu wa Mbeya, ambao wametupa jina tuu na kichukua vitu vya muhimu? Ili nieleweke,,, kuna issues mbili tatu:

1. Hakuna sehemu ya maana iliyokuwa inaitwa Songwe
2. Kila cha maana chenye jina hilo kilibaki Mbeya, mfano: uwanja wa ndege, kiwanda cha cement, gas ya hellium, n.k
3. Songwe ni jina gumu na halina Mvuto na hata hii wilaya mpya yenye jina kimsingi ingeitwa Chunya B
4. Makao Makuu ya Mkoa wa Songwe yamewekwa Vwawa-Mlowo, Mbozi,
5. Ikumbukwe jina la Mbozi lina-hang kama vile Kilimanjaro na Moshi, Rukwa na Sumbawanga, n.k,
6. Makao makuu ya Mkoa wa Songwe yapo Vwawa Wilayani ya Mbozi (hakuna mji unaitwa mbozi, ukiachia mbali hospitali ya mbozi mission) ambayo yenyewe makao yake Vwawa.

Je haingekuwa busara huu mkoa ukaitwa Mbozi, Vwawa au Mlowo?
Mbozi Inge sound vizuri
 
Back
Top Bottom