Delegate
JF-Expert Member
- Jan 4, 2012
- 331
- 203
Ndugu zangu
kuna mada inaendelea hapa jamvini kuhusu ushauri wa kurejea Tanzania,wote mliotoa ushauri nawashukuru sana na kwa taarifa tu ni kwamba nimeamua kurejea nyumbani!
sifahamu kuhusu mikoa mingi lakini kwa kuwa nina uwezo wa kuishi maisha yoyote yale ninatamani sana kwenda kuishi mtwara
najua mtwara ni mkoa uliosahauliwa sana na serikali yetu,lakini kwa kuwa kuna watu wanaishi ningependa kujua maisha ya palea yakoje??je wenyeji wa pale wanapenda wageni???je wana nia ya dhati ya kujiletea maendeleo?fursa za biashara zikoje pale??natamani kuijua mtwara!
kuna mada inaendelea hapa jamvini kuhusu ushauri wa kurejea Tanzania,wote mliotoa ushauri nawashukuru sana na kwa taarifa tu ni kwamba nimeamua kurejea nyumbani!
sifahamu kuhusu mikoa mingi lakini kwa kuwa nina uwezo wa kuishi maisha yoyote yale ninatamani sana kwenda kuishi mtwara
najua mtwara ni mkoa uliosahauliwa sana na serikali yetu,lakini kwa kuwa kuna watu wanaishi ningependa kujua maisha ya palea yakoje??je wenyeji wa pale wanapenda wageni???je wana nia ya dhati ya kujiletea maendeleo?fursa za biashara zikoje pale??natamani kuijua mtwara!