Asante
JF-Expert Member
- Dec 18, 2009
- 2,085
- 1,082
Karibu barabara zote muhimu za mjini Mtwara zimewekwa lami na kujengwa mitaro ya maji machafu. Masteplan ya mji wa Mtwara ni nzuri sana, hakuna ujenzi holela labda ongezeko la watu na mahitaji ya viwanja yanavyoongezeka masteplan ya mji itapindishwa.
Fungua ramani ya mji wa Mtwara hapa chini ujionee mwenyewe.
https://www.google.com/maps/preview...1s0x188d4504be72983b:0x7bb336e2eec34478?hl=en
Fungua ramani ya mji wa Mtwara hapa chini ujionee mwenyewe.
https://www.google.com/maps/preview...1s0x188d4504be72983b:0x7bb336e2eec34478?hl=en