Mkoa gani wanalima njegele

Mkoa gani wanalima njegele

je parle

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2018
Posts
2,101
Reaction score
4,080
Wanajamii naomba kuuliza ni mkoa gani hapa Tanzania wanalima ngegele kwa wingi na zinalimwa kuanzia mwezi gani. Nataka kulima hili zao kibiashara zaidi.
 
Najua iringa na morogoro maeneo ya mgeta. Za moro ni za rojooo
 
Ni vizuri ungetumia forum ya kilimo na ufugaji, sababu ungepata ufafanuzi zaidi kutoka kwa watu wengi waliojikita na masuala hayo,
By ushauri
 
Back
Top Bottom