Kagera hakuna ardhi,tayari mkoa umebanana,labda nisijue Wilaya ya Ngara kwani nayo ni KageraKagera,mbeya nk
Kagera hakuna ardhi,tayari mkoa umebanana,labda nisijue Wilaya ya Ngara kwani nayo ni KageraKagera,mbeya nk
Penye neema hakunaga maendeleo watu hufikiria kula tu.Alafu kingine anatakiwa ajue ya kwamba sehemu yenye rutuba hakuna Soko la mazao. Labda kama ana target ya kupeleka mjini DSM, Mwanza, Zanzibar, arusha na sehemu ya majiji na sio uku kwy rutuba hakuna wanunuzi na wanunuzi ni choka mbaya
Kama Ni doma ya Moro mmh hapana pakame balaaJitahidi na hiyo 1.4 isije ikaisha maaana uliuza nyumba ukafanye biashara ya mkaa!!!! Nakushauri nenda Doma ukalime nyanya miezi 3 tu unaingia sokoni.
Mkuu ww umesha wahi kulima doma maaana huwa nikipita na basi pale naona nyanya zakutoshaJitahidi na hiyo 1.4 isije ikaisha maaana uliuza nyumba ukafanye biashara ya mkaa!!!! Nakushauri nenda Doma ukalime nyanya miezi 3 tu unaingia sokoni.