kiben10
JF-Expert Member
- Apr 28, 2018
- 616
- 789
Napenda kuwashirikisha vijana wenzangu kwa hili, naomba kujua mkoa gani naweza kufanya kilimo cha Mahindi na Maharage nikafanikiwa kwa 100%???
Kwani ile biashara yangu ya mkaa naona LOSI imeshaingia na mtaji umeliwa kwa 45% sasa kabla sijaadhirika naombeni mnijuze kwa jambo hili nalowashirikisha ili nisije nikawa CHIZI kwa sababu GHOFU langu nimeuza na PESA inakwisha, nataka kuamia huku je niende MKOA GANI UNAFAA KWA KILIMO??
PS: Mtaji wangu ni 1.4M
Kwani ile biashara yangu ya mkaa naona LOSI imeshaingia na mtaji umeliwa kwa 45% sasa kabla sijaadhirika naombeni mnijuze kwa jambo hili nalowashirikisha ili nisije nikawa CHIZI kwa sababu GHOFU langu nimeuza na PESA inakwisha, nataka kuamia huku je niende MKOA GANI UNAFAA KWA KILIMO??
PS: Mtaji wangu ni 1.4M