Mkoa gani ni mzuri kuishi?

Mkoa gani ni mzuri kuishi?

Fatmata

Member
Joined
Jul 22, 2013
Posts
66
Reaction score
34
Jamani mimi natafuta mkoa mzuri wa kuishi ambako maisha ni ahueni! Nijuzeni waungwani!
 
mikoa mizuri tulivu na ambapo gharama za maisha ni lahis ni mwanza.kagera na mbeya.
 
Katavi ndo mwisho wa maneno, [MENTION]Katavi[MENTION] anaweza kueleza zaidi.
 
Nenda Dodoma!fursa kibao sana!uwe na hata 5mil kuanzia maisha
 
Back
Top Bottom