Mkoa gani mzuri wa kutembelea Tanzania?

Mkoa gani mzuri wa kutembelea Tanzania?

kevin strootman

JF-Expert Member
Joined
Nov 26, 2017
Posts
1,114
Reaction score
1,879
Mwezi ujao mwezi wa 11 nataka kujipa likizo fupi baada ya miparangano ya kimaisha hapa mjini dar, natamani niende mkoa ambao nitaenjoy, Hali ya hewa na wenyeji wa hapo (maua muhimu).

Ila isiwe Mikoa ya kaskazini (Tanga, Kili, Arusha).

Nipe na sababu kwanin nifike mkoa unaoniambia panafaa kwenda kukaa hata for two weeks.
 
Inategemea unapendelea nini mkuu!

Mimi zikifika nyakati za kwenda kupumzika, nitaenda mikoa yenye baridi.
 
Sasa ulivyoitoa kaskazini ( Kilimanjaro, Arusha na Manyara ) unataka uende wapi sasa ??

Unatupa kazi ngumu utafikiri unatulipa, Watanzania bana !!

Baada ya kuitoa kaskazini Bora uende Geita huko ukashangae migodi ya dhahabu au Morogoro ukashangae milima uluguru.
 
Sasa ulivyoitoa kaskazini ( Kilimanjaro, Arusha na Manyara ) unataka uende wapi sasa ??

Unatupa kazi ngumu utafikiri unatulipa, Watanzania bana !!

Baada ya kuitoa kaskazini Bora uende Geita huko ukashangae migodi ya dhahabu au Morogoro ukashangae milima uluguru.
Mikoa ya kaskazin San sana Kilimanjaro na Arusha ndio nlipotokea.
 
Sasa ulivyoitoa kaskazini ( Kilimanjaro, Arusha na Manyara ) unataka uende wapi sasa ??

Unatupa kazi ngumu utafikiri unatulipa, Watanzania bana !!

Baada ya kuitoa kaskazini Bora uende Geita huko ukashangae migodi ya dhahabu au Morogoro ukashangae milima uluguru.
Ila naskia Kanda ya kati panafaa, Singda, Dodoma sana sana Kondoa, Manyara
 
Mwezi ujao mwezi wa 11 nataka kujipa likizo fupi baada ya miparangano ya kimaisha hapa mjini dar, natamani niende mkoa ambao nitaenjoy, Hali ya hewa na wenyeji wa hapo (maua muhimu)...
Simiyu utembelee gambosh utakuja kunishukuru
 
Ila naskia Kanda ya kati panafaa, singda, Dodoma sana sana kondoa, manyara
Huko kote ni damu za kikush hivyo, kwa nilivyokusoma ni bora ungeweka dhamira yako wazi kuwa unataka kufanya sex tourism 😁

Nenda tu huko huko Ila ukihitaji sehemu iliyotulia itakayokupa nice experience, mwanza ni best place ya kwenda
 
Sasa ulivyoitoa kaskazini ( Kilimanjaro, Arusha na Manyara ) unataka uende wapi sasa ??

Unatupa kazi ngumu utafikiri unatulipa, Watanzania bana !!

Baada ya kuitoa kaskazini Bora uende Geita huko ukashangae migodi ya dhahabu au Morogoro ukashangae milima uluguru.
Nimemshangaa mnoo, labda ni mzaliwa wa kaskazini
 
Kigoma kibirizi ukale migebuka na ugali wa loe
 
Huko kote ni damu za kikush hivyo, kwa nilivyokusoma ni bora ungeweka dhamira yako wazi kuwa unataka kufanya sex tourism [emoji16]

Nenda tu huko huko Ila ukihitaji sehemu iliyotulia itakayokupa nice experience, mwanza ni best place ya kwenda
[emoji3][emoji3]
 
Back
Top Bottom