Negrodemus
JF-Expert Member
- Dec 30, 2010
- 2,316
- 677
Wanafunzi watano wa chuo kikuu
kimoja hapa nchini walikuwa
wanatakiwa wafanye mtihani siku
inayofuata. Wale wanafunzi
walikunywa pombe mpaka saakumi za
usiku,asubuhi ya siku ya mtihani kila mmoja alikuwa na uchovu wa
Hangeover hivyo walishindwa kufanya
mtihani.Wakatunga uongo wa kwenda
kumuongea Lecture wa somo husika.
Wakaenda kumuongopea Lecture
kuwa wameshindwa kufanya mtihani kwa sababu jana walikuwa kwenye
harusi na wakati wanarudi gari yao
ikapata pancha na wakavamiwa na
vibaka na kuibiwa pamoja na kupigwa.
Yule Lecture alikubali na akawapa siku
tatu za kujiwekasawa na kujiandaa na special exam.Siku ya mtihani wa Special
yule Lecture aliwapa mtihani na
aliwasimamia mwenyewe. Mwongozo
wa mtihani ulikuwa kama ifuatavyo,
1.Mtihani huu ni kwa wanafunzi
watano 2.Majibu yao lazima yawe sawa na yakiwa tofauti wote wanapata ziro
na wanafeli
3.Mtihani huu una maswali matano na
yote lazima yajibiwe. Maswali ya mtihani
yalikuwa hivi. 1.Harusi ilifanyika katika
ukumbi gani? 2.Gari mliomtumia mpaka mkapata pancha inaitwaje? 3.Ajali
imetokea eneo gani? 4.Nani alikuwa
dereva?
5.Tairi ipi ilipata pancha,ya mbele au ya
nyuma? NAWATAKIA MTIHANI MWEMA
kimoja hapa nchini walikuwa
wanatakiwa wafanye mtihani siku
inayofuata. Wale wanafunzi
walikunywa pombe mpaka saakumi za
usiku,asubuhi ya siku ya mtihani kila mmoja alikuwa na uchovu wa
Hangeover hivyo walishindwa kufanya
mtihani.Wakatunga uongo wa kwenda
kumuongea Lecture wa somo husika.
Wakaenda kumuongopea Lecture
kuwa wameshindwa kufanya mtihani kwa sababu jana walikuwa kwenye
harusi na wakati wanarudi gari yao
ikapata pancha na wakavamiwa na
vibaka na kuibiwa pamoja na kupigwa.
Yule Lecture alikubali na akawapa siku
tatu za kujiwekasawa na kujiandaa na special exam.Siku ya mtihani wa Special
yule Lecture aliwapa mtihani na
aliwasimamia mwenyewe. Mwongozo
wa mtihani ulikuwa kama ifuatavyo,
1.Mtihani huu ni kwa wanafunzi
watano 2.Majibu yao lazima yawe sawa na yakiwa tofauti wote wanapata ziro
na wanafeli
3.Mtihani huu una maswali matano na
yote lazima yajibiwe. Maswali ya mtihani
yalikuwa hivi. 1.Harusi ilifanyika katika
ukumbi gani? 2.Gari mliomtumia mpaka mkapata pancha inaitwaje? 3.Ajali
imetokea eneo gani? 4.Nani alikuwa
dereva?
5.Tairi ipi ilipata pancha,ya mbele au ya
nyuma? NAWATAKIA MTIHANI MWEMA