Kwenye huu uzi wako unataka kuwaambia watu kwamba pamoja na kwamba wanalalamika chato kupendelewa kuliko mikoa ya Kas kazini, bado hiyo miradi iliyopelekwa huko kiupendeleo, watakaoiendesha ni watu wa Kas kazini maana ndio wenye maono.
Hii si Tanznaia ya miaka ya enzi kina Mwinyi na kina Mkapa mkuu.
Akili walizonazo watu wa Kas kazini ndio walizonazo watu wa kusini, magharibi na Mashariki.
Enzi za watu wa Kas kazini kujimwambafy kila kona katika nchi hii zimeahapita mkuu. Ni ukweli unaouma na wala hamuonewi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ona akili kama hizi sasa!Noted
Kaskazini ameshindwa kuidumaza maana watu wa kule Wana akili nyingi ametumia kila nguvu lakin Cha ajabu kaskazini haitetereki kila mahali tz ukienda unakuta wakaskazin wameshika fursa,hata chato wakaskazin wameshakamata fursa kitaambo huku wenyeji wakichunga ngombe,hii ndio faida ya elimu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kubali tu kwamba hii mada yako umeenda chakaOK sawa asante lakini sijui NENO kuonewa unalitoa wapi kila mara... Naona kama limekukaa mno
Jr[emoji769]
Tumenusurika kweli makao makuu ya serikali kuwa chato
Unamaanisha nini mchawi mwenzangu?Ukitaka kuwatoa nyoka shimoni walimojificha mwaga mafutataa.... Halafu kaa pembeni ushuhudie mahangaiko.... [emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124]
Jr[emoji769]
Jr[emoji769]
Unamaanisha nini mchawi wenzangu?
MaUkitaka kuwatoa nyoka shimoni walimojificha mwaga mafutataa.... Halafu kaa pembeni ushuhudie mahangaiko.... [emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124]
Jr[emoji769]
Jr[emoji769]
Nikweli mkuu! Naomba kanda ya ziwa kama kuna watu wamepania kuinua maisha ya kanda ya ziwa! Wajenge vyuo vingi vya elim huko, nasikia kuna CBE inajengwa bariadi sapiwi, na DIT mwanza nk. Naomba vyuo vikuu viongezeke badara yakubaki na SAUT pekee, harafu wasamvaze siyo kuwa palepale mjini. Pelekeni vyuo vya NIT kama tawi pale magu kuna maeneo mengi bado yapo wazi maana saivi NIT ni dar pekee, chuo cha bandari perekeni pale Nyamikoma ziwa lipo na maeneo yapo, chuo cha anga pale kisesa maeneo yPo na na vyuo vingine
Mind setting... Una mifugo mingi lakini kila ukiuza pesa unafutika mchagoni
Una mifugo mingi lakini haina afya nzuri
Una mifugo mingi lakini familia inaishi mazingira magumu kuanzia lishe mpaka elimu na mahitaji mengine muhimu... Hili tatizo lipo hata umasaini... Mifugo inapewa thamani kubwa kuliko BINADAMU lakini wamasai sasa wameanza kubadilika
Jr[emoji769]
I was about to say something but umeweka vzr mwishoni maana hao watu wamebadilika sana, wanapeleka watoto wao shuleni kwa kasi ya ajabu. Ongezeko la watoto wa kike kwenda shule from primary schools to universities ni kubwa mnoo compared to boys....hivi sasa jamii wanajadiliana kuwasukuma watoto wote kwa pamoja. FYI wamasai wameweka target kuwa by any cost ni lazma wafikie kiwango cha wachaga kielimu au zaidi....kuhusu ufugaji, again, they are no long raising cattle for prestige purpose kwasasa wanafuga na kuvuna kwa wakati mwafaka kabla ya kiangazi.....hawa jamaa wamejipanga kwakwel...
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwanzo wa post yako ni uharo mtupu. Hivi Tanga na huko umasaini kuna nini cha kuzidi sukumaland ? Pole sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Dah, haya mkuu yetu macho uliyosema yana ukweli wake. Jengo la mahakama wilaya ya Chato ni hatari kuliko mikoa mingi niyotembelea na hakika muendelezo wa hayo yote itakuwa ni changamoto kwani rasilimali watu haijaendelezwa kabisa
Wachape zaidi hao.....Wachaga na watu wa Kas kazini acheni kuishi Tanznaia ya Miaka 30 iliyopita!
Sasa hivi kila mtanzania ana exposure, amesoma, siyo kama zamani mchaga pekee ndio alikuwa biashara anajua yeye, kazi za maofisini anajua yeye tu!
Sasa hivi kila mtu ni mjanja. Fursa ikijitokeza kila Kabila linaiona na kuifanyia kazi.
Sasa ndugu zangu wa Kas kazini bado mna akili za miaka ya nyuma hamtaki kukubali ukweli kwamba fursa mlizokuwa mnazi fanya ninyi siku hizi kila mtanzania anamudu kuzifanya! Ndio maana mnaona kama mnaonewa na utawala huu maana kila mnapoenda mnakuta watu wameshawahi[emoji23][emoji23][emoji23]
Kubalini kwamba watanzania wa kila Kabila wanasoma na wamejanjaruka siku hizi.
Hakuna kinachodumu milele. Poleni.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kagera imepigwa vita plus majanga na matukio ndo yameishusha.Noted
Kaskazini ameshindwa kuidumaza maana watu wa kule Wana akili nyingi ametumia kila nguvu lakin Cha ajabu kaskazini haitetereki kila mahali tz ukienda unakuta wakaskazin wameshika fursa,hata chato wakaskazin wameshakamata fursa kitaambo huku wenyeji wakichunga ngombe,hii ndio faida ya elimu
Sent using Jamii Forums mobile app
Sijawahi ona Duka la mangi uhayan labda kidogo bukoba mjini nako wameajiriwa au labda waliolewa uhayaniNoted
Kaskazini ameshindwa kuidumaza maana watu wa kule Wana akili nyingi ametumia kila nguvu lakin Cha ajabu kaskazini haitetereki kila mahali tz ukienda unakuta wakaskazin wameshika fursa,hata chato wakaskazin wameshakamata fursa kitaambo huku wenyeji wakichunga ngombe,hii ndio faida ya elimu
Sent using Jamii Forums mobile app
WeweeeSijawahi ona Duka la mangi uhayan labda kidogo bukoba mjini nako wameajiriwa au labda waliolewa uhayani
NB sijui Kwa nini mademu wengi wa kichaga wanapenda Sana nshomile !!
Sent using Jamii Forums mobile app