Mkimzingua ataunda chama chake

Umesahau Geita mkuu
 
Naiona hatari kubwa!! Mafisadi waliokuwa wamenywea naona wanaibuka nao wanadai wanamsapoti mama! Wakwepa kodi waliozoea kufanya udanganyifu Wa kodi waliokuwa wamebanwa vilivyo nao wamechangamka na kudhani enzi za udanganyifu na ukwepaji Wa kodi zinaelekea kurudi!! Waliokuwa wanamtukana Magufuli SAA hii wanamsifu mama! Tumwombee sana mama, hii kazi aliyopewa na Mungu ni ngumu sana! Mafisadi wasije wakamnasa kwenye mtego wa kumsifia!!
 

Ulitamka wamsifu mtu dhalimu?
 
Ni sukuma Gang kweli, hao wasukuma wakijichukulia ni wao wote hiyo ni juu yao. Kama walikaa kimya wakati kabila lao likitumikia taswira chafu, itabidi wakae kimya na sasa.

Halafu wakati wa Kampeni Mbowe atakwenda kuwaomba kura,au ataishia kupiga kampeni Mikoa ya Kaskazini peke yake?
 
Halafu wakati wa Kampeni Mbowe atakwenda kuwaomba kura,au ataishia kupiga kampeni Mikoa ya Kaskazini peke yake?

Atakwenda kama kawaida tena mchana kweupe, hutaki usimpe kura yako maana hiyo ndiyo demokrasia.
 
Mshana Jr haaa wapi,umechemsha vibaya sana.
CCM ipo imara na mpaka sasa mipango nusu ishakamilika ya kushinda chaguzi zote zinazokuja hadi uchaguzi wa 2025.
CCM haijawai kuparaganyika kama unavyotamani na haitokuja kuwa.
Wewe huijui CCM wewe.
Utasubiri sana hapo stendi ya daladala mtaa wa Ufipa.
 
Jamani hebu tujenge nchi hawa wanao taka mama ashindwe wakafie mbele huko shenzi zao kabisa...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…