Mkienda mikoani kibiashara, kusave Gharama huwa mnalala wapi?

Jan 17, 2024
47
71
Mimi n mkazi wa Dar, Sasa nahitaji kuanza kwenda mikoani kutafuta soko la bidhaa yangu. Kwenye kutafuta soko Huwa ni 50/50 kunakupata na kukosa, na pia inachukua muda kumshawishi mteja ambae ni muuzaji wa duka kuchukua bidhaa yako hivyo inabidi kuja na kurudi japo siku tatu hivi ili aone userious wako.

Mfano wiki moja kukaa Guest au Lodge inakata sana. Hamna njia yoyote yakusave hili tatizo ukiachana na kwenda kukaa kwa ndugu au marafiki kwa sababu hao watu sina mikoani.
 
Mimi n mkazi wa Dar, Sasa nahitaji kuanza kwenda mikoani kutafuta soko la bidhaa yangu. Kwenye kutafuta soko Hua n 50/50 kunakupata na kukosa, na pia inachukua mda kumshawishi mteja ambae n muuzaji wa duka kuchukua bidhaa yako hivyo inabidi kuja na kurudi japo siku tatu hivi ili aone userious wako, mfano wiki moja kukaa Guest au Lodge inakata sana. Amna njia yoyote yakusave hili tatizo ukiachana na kwenda kukaa kwa ndugu au marafiki kwa sababu hao watu sina mikoani
Nenda kakeshe stand za mabasi, sidhani kama uko serious.

Guest house ndio nyumba za wageni, wewe unataka ufikie wapi?
 
Mimi n mkazi wa Dar, Sasa nahitaji kuanza kwenda mikoani kutafuta soko la bidhaa yangu. Kwenye kutafuta soko Hua n 50/50 kunakupata na kukosa, na pia inachukua mda kumshawishi mteja ambae n muuzaji wa duka kuchukua bidhaa yako hivyo inabidi kuja na kurudi japo siku tatu hivi ili aone userious wako, mfano wiki moja kukaa Guest au Lodge inakata sana. Amna njia yoyote yakusave hili tatizo ukiachana na kwenda kukaa kwa ndugu au marafiki kwa sababu hao watu sina mikoani
Kama ni mwendaji wa mara kwa mara chukua chumba na kukilipia mwezi mwezi inakuokolea gharama sana, room nyingi ni 30K - 50K kwa mwezi na ni nzuri tu fedha ambayo Guest House unalipa kwa siku au siku mbili
 
Tafta guest au lodge ya bei nafuu unaweza usipende mazingira yake ila itakusaidia

Lodge na guest za elf5 to 10 ziko ming japo sio nzr ila kikazi na km mtaji wako sio mkubwa ziko poa tu
 
Kama ni mwendaji wa mara kwa mara chukua chumba na kukilipia mwezi mwezi inakuokolea gharama sana, room nyingi ni 30K - 50K kwa mwezi na ni nzuri tu fedha ambayo Guest House unalipa kwa siku au siku mbili
Chumba unacholipia mwezi mmoja n ngumu sana kukipata
 
Mimi n mkazi wa Dar, Sasa nahitaji kuanza kwenda mikoani kutafuta soko la bidhaa yangu. Kwenye kutafuta soko Huwa ni 50/50 kunakupata na kukosa, na pia inachukua muda kumshawishi mteja ambae ni muuzaji wa duka kuchukua bidhaa yako hivyo inabidi kuja na kurudi japo siku tatu hivi ili aone userious wako.

Mfano wiki moja kukaa Guest au Lodge inakata sana. Hamna njia yoyote yakusave hili tatizo ukiachana na kwenda kukaa kwa ndugu au marafiki kwa sababu hao watu sina mikoani.
Kwa mwenyekiti wa kijiji , kikubwa beba sukari kilo moja tu kwisha habari yake .

Ukiwa unaendelea na shughuli zako siku beba mboga hapo nyumbani kwake ila chunga sana kula kwake watakichoka

Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom