Mkeo akifanya hivi wewe utakubali?

Mkeo akifanya hivi wewe utakubali?

kwanza siwezi fikia hatua ya kuoa muenda madisco kama huyo.Hivi unajua kama wanawake wengine wameshajijua wao sio wa kuolewa.


naukijichanganya kutaka kumuoa anakushangaa,.😂😂😅
 
Mimi ambaye nilishampiga marufuku mke Wangu kuvaa Suruali, kwa tukio hilo akitenda nta mpiga talaka tu.Alaa yaani ananiletea uzungu hapa!.
Niliwahi pia kumpiga,baada ya kijana kumsalimia na ye akamjibu safi niambie, sasa akwambie nini, pumbaaafu nikampa makofi ya nguvu palepale.

We ni mkoloni
 
Maisha yapo hapahapa Duniani, kwenda club sio kosa, ila hatoenda alone na mimi sitoenda alone.

Unyang'au wa namna hii mwiko!
 
Maisha yapo hapahapa Duniani, kwenda club sio kosa, ila hatoenda alone na mimi sitoenda alone.

Unyang'au wa namna hii mwiko!

Waambie,kuna watu wanakoment kama wazee wa mwaka 44
 
Nimependa kaka itakuaje ufatane na mkeo atokee popobawa amsalimie mambo wakati so ndugu wala jirani kuna mambo gani shenzi type pigs vibao
 
Nimependa kaka itakuaje ufatane na mkeo atokee popobawa amsalimie mambo wakati so ndugu wala jirani kuna mambo gani shenzi type pigs vibao
Yeye anasalimiwa..je wewe unayekodoa mimacho mkeo akufanyeje
 
siku hizi ni talaka za kidigital tu haina haja ya kutafuta peni tena unaituma kwa Whatsapp na vi emoji vya msisitizo
 
Pengine ww huna kifua cha kubusiwa. Namwacha tu kwani kifua kitu gani
 
Mimi ambaye nilishampiga marufuku mke Wangu kuvaa Suruali, kwa tukio hilo akitenda nta mpiga talaka tu.Alaa yaani ananiletea uzungu hapa!.
Niliwahi pia kumpiga,baada ya kijana kumsalimia na ye akamjibu safi niambie, sasa akwambie nini, pumbaaafu nikampa makofi ya nguvu palepale.

Nitacheka siku nzima yaani mbavu sina
 
Mimi ambaye nilishampiga marufuku mke Wangu kuvaa Suruali, kwa tukio hilo akitenda nta mpiga talaka tu.Alaa yaani ananiletea uzungu hapa!.
Niliwahi pia kumpiga,baada ya kijana kumsalimia na ye akamjibu safi niambie, sasa akwambie nini, pumbaaafu nikampa makofi ya nguvu palepale.

ha ha ha ha haa! ''Ncheke ninenepe ,nkonde nna mke'' ...source kingwendu.
 
Mimi ambaye nilishampiga marufuku mke Wangu kuvaa Suruali, kwa tukio hilo akitenda nta mpiga talaka tu.Alaa yaani ananiletea uzungu hapa!.
Niliwahi pia kumpiga,baada ya kijana kumsalimia na ye akamjibu safi niambie, sasa akwambie nini, pumbaaafu nikampa makofi ya nguvu palepale.
Hahahahahaha nimecheka sana aise mpaka watu wananishangaa hahahaha
 
Back
Top Bottom