Mkenya pekee anayejua mziki

Write your reply...Maskini Otile ,vera katoa uja uzito wake,,,angetafuta level yake kama Elizabeth Michael na hamisa mobeto maana hadhi yao ya chini tu lakini Vera level nyengine aise.....
 
hahaha nakubaliana...mara ya kwanza kuskia wimbo wake kistaarabu nilidhani mtz....ila kazaliwa pwani ya Kenya na kulelewa huko so hakuna tofauti na mtz...ana sauti nzuri sana huyu jamaa...ila sikubaliani unaposema kuwa ndiye mkenya pekee anayejua mziki kisa anaimba bongo flava kwa sababu kuna watu hawaskilizi bongo kabisa...

 
Unazungumzia Kenya nchi anayotoka rapper bora afrika Kaligraph Jones? Role model wa young killer,Roma, sholobwenzi stamina,fid q
mkuu unaonekana unafatilia sana mziki wa bongo but no one like fid q in east africa huyu jamaa hachana nae kabisa usije kuchekwa
 
Currently, Kaligraph Jones ndie rapa bora east Africa, Sauti Sol ndio kundi bora la muziki east Africa na pia Nyanshiski anazidiwa na wakali wachache wa hapa bongo.

Kusema Otile brown ndie mkenya pekee anaejua mziki ni kuongopa!

I would choose Nyanshiski over Otile anytime!
 
Wakenya wanaiba mziki wetu wa BongoFlava taratibu,

Yani huyo anaimba Bongoflava pure kabisa. Kaiga kuanzia kiswahili hadi Mashairi.

Ukiskiliza unaweza ukafkiri Kama underground wa Bongo kumbe mkenya
Hii ndio upuzi sitakangi. Wapwani wa Kenya wana kiswahili kitamu kushinda hao wabongo unaowashobokea hapa. Kiswahili kilianza pwani mwa Kenya. Soma vitabu vya historia.
 
Mm ni mbongo mzee, tena pure, Ngosha namkubal lakin hagus kwa huyu jay z wa bara la afrika. Khaligraph Jones ni habar nyingine asee

Sent from my TECNO W4 using JamiiForums mobile app
Mh hapo ktk kusema Role Model umeharibu, Fid Q katoka(established) kabla ya hao wote uliowataja.Kaligraph kwa huku Tanzania anawashukuru sana Nikki Mbishi na Songa kwa kum introduce huku na ushahidi wa video upo do your research.Kaligraph utakuwa umemjua baada ya yeye kuanza kufata trend na Fid Q hafati trend za sasa sana
 
Currently, Kaligraph Jones ndie rapa bora east Africa, Sauti Sol ndio kundi bora la muziki east Africa na pia Nyanshiski anazidiwa na wakali wachache wa hapa bongo.

Kusema Otile brown ndie mkenya pekee anaejua mziki ni kuongopa!

I would choose Nyanshiski over Otile anytime!
otile msanii mdigo sana sidhani kama itafaa kumlinganisha na msanii kama mbosso kidogo nyashi naweza kumuweka katika level flan kutokana na ukongwe wake
 
Unazungumzia Kenya nchi anayotoka rapper bora afrika Kaligraph Jones? Role model wa young killer,Roma, sholobwenzi stamina,fid q
Papaa Jones yuko poa ila unakosea sana kuwataja wakina Fid na kusema Jones ni role model wao. Fid Q ameanza game huyo khaligraph ata studio aja ingia. Roma na Fid q hawawezi kusema role model wao ni Khaligraph ila ni mtu ambae wana kubali kazi zake na wamesha fanya kazi pamoja. Role model wa young killer ni Fid Q
 
Write your reply...Maskini Otile ,vera katoa uja uzito wake,,,angetafuta level yake kama Elizabeth Michael na hamisa mobeto maana hadhi yao ya chini tu lakini Vera level nyengine aise.....

Vera Sidika ni moto sana yule mtoto ki ukweli hata mimi mwenyewe nilikuwa namuonea wivu. Elizabeth Michael wangedumu pengine ila Hamisa pasua kichwa sidhani kama angemfaa
 
Back
Top Bottom