Mkenya mwengine auliwa na POLISI huko Kwale. Wananchi wataka kusitishwa kwa 'curfew' haraka

kwani MK254 anasemaje?

Kwa sasa achana na mambo ya Kenya, weka macho yako huku maana ndiko yanatendeka yenyewe kisha ujiulize hapo ulipo kama uko salama au umekomalia zile kauli zenu za "tusitishane"

2356934_Screenshot_20200403-124749.jpeg
 
Huu ugonjwa ndio umekuja kujulisha Nchi gani watu wake Wana IQ ndogo zaidi hapa E.A



Hii inafanya idadi ya watu waliouliwa na POLISI kufikia 4, wakati wale waliokufa kutokana na Corona ni 3.

COVID - 19: 3
POLISI: 4

Bado ndio kwanza tupo dakika za mwanzo za mtanange huu, huenda COVID - 19, ikasawazisha leo, usikae mbali na TV yako kufuatilia huu mchezo.

Sent using Jamii Forums mobile app


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huku bongeni bongo kambi rasmi wanalalamika kwanini hamchukui hatua Kama kenya?
 
Back
Top Bottom