Mkenya 'Kihiyo' aongoza shule ya kimataifa Dar es Salaam

Note: kwenye results za 2016 kuna phrase inasema "kwenye kundi lake". Therefore mwaka huu kulikuwa na mgawanyo katika makundi madogo zaidi kutokana na idadi ya candidates, that is why inaonekana kama kupanda kidogo kulinganisha na 2015 and 2014. Na ndio maana kitaifa kwenye kundi laki idadi ya shule ni kwenye elfu 8 but shule kitaifa ni zaidi ya hizo.
Uko sawa. Nilichokuwa nafikiria (kutokana na mtoa hoja), ni kuwa ningeona 'drastic change' kati ya matokeo ya angalau miaka mitatu nyuma kitu ambacho sijakiona.
Hivyo inabaki kuwa mtoa hoja ana vitu vingine ambavyo inawezekana ni 'personal' na shule husika.

Tafakari.
 
Shule ya St. Columba's campus ya Upanga ni shida tupu. Mm watoto wangu watatu walikuwa wakisoma hapo, nimewahamisha kutokana na matatizo ya kiutendaji wa hiyo shule. Shule ina location nzuri ila hupati thamani ya pesa yako na madarasa utadhani ni mabanda ya kuku.
Huyo mkuu wa shule David Wathiga ndio source ya matatizo yote, uwezo wake wakuendesha shule na kusimamia walimu ni mdogo sana. Hata ukimpelekea malalamiko tena sensitive hupati feedback na pia halifanyiwi kazi anabaki kukuitikia tu vizuri.
Shule haina mabasi yake na anaetoa huduma ya usafiri ana mabasi mabovu kila siku spana mkononi.
Mabasi yanakuwa na watoto na dereva tu bila ya escort ya mwalimu au mtu responsible.
Walimu wana uwezo mdogo kwenye masomo wanaofundisha, wanawakosesha watoto kwenye mitihani ukiwasahihisha wanajenga chuki na mwanao mfano Teacher Hadija wa Grade one alimfinya mwanangu wa miaka sita karibu na sehemu zake za siri mpaka akatoka alama iliyodumu kwa zaidi ya wiki, Tr. Hadija nilipolalamika alijibu kuwa mwanangu atakuwa ameichoka shule na David Wathiga akiwa ni mwalimu mkuu hakichukuwa hatua yoyote.
Usimamizi wa watoto wanapokuwa shule ni mdogo sana hadi watoto wanabakana vyooni.
Walimu hawana wito, ukimpeleka mtoto na dawa kama yupo kwenye dose mtoto anaambiwa ungebaki kwenu, wakati watoto kila mara wanauguuwa UTI kutokana na vyoo vichafu havina maji yanayotiririka na hata sabuni yakunawia mikono chooni na kwenye dining room hamna.
Unalipia pesa ya swimming ya term, watoto wataenda ku swim hardly mara tano kwa term yote.
Chakula hakiridhishi, na kikibaki kinachanganywa na siku ya pili.
All in all hata performance ya shule kwenye mitihani ya taifa inaendelea kushuka mwaka hadi mwaka.
As a parent sikuwa naweza kurelax kabisa wakati wanangu walivyokuwa wakisoma kwenye hiyo shule. But now, i have found a good school, it's not perfect but it's a big step up from St. Columba's school.
Kwa hiyo shule inahitaji a change of leadership to begin with ndio mengine yatafuata.

spinderella:

Madai ambayo umeainisha ni ya kweli. Siyakatai wala siyapingi.

Tr. Hadija personally nilishagombana naye kwa kumchapa mwanangu.

Tukisema matatizo uliyotaja hapo ni kwa sababu ya David kwa kweli tutakuwa tunamwonea yule jamaa.

Je kabla ya David kuja, shule ilikuwaje? Ilikuwa ni bora zaidi? Screen shot za matokeo ya miaka mitatu iliyopita, je David ndiye alikuwa mwalimu mkuu?

David hana hata mwaka mmoja pale, kama sijakosea na amekuta pale pamejaa uozo hasa mwalimu wa academic ambaye aliondoka. Na mbaya zaidi David alivyotaka kuingilia system iliyokuwepo ya uozo, jamaa wakamwitia immigration. Nafikiri ndiyo maana akawa mpole.

Mwalimu wa academic alikuwa anasajili na kujaza watoto darasani bila kuzingatia idadi inayoruhusiwa kwenye darasa na hasa ukizingatia idadi ya waalimu ni wawili tu kila darasa. Unakuta mzazi unalipa ada ya mwaka mzima, lakini mwalimu wa academic anakumbia lazima tuition ifanyike. Akishachukua hela hafikishi kwa yule mwalimu anayemfundisha mwanao na hata huyo mwalimu hajui kama kuna maongezi yamefanyika. Na mbaya zaidi akapiga marukufu mwalimu kuwasiliana na mzazi wa mtoto. Hao ndiyo wameharibu shule.

Kama ni uongozi mbovu basi lawama ziende kwenye board ya shule kwa sababu wao ndiyo wanahusika kikamilifu. Kama David anapelekewa malalamiko na hayafanyii kazi basi huo nao ni uzembe.


 
Mambo serious kama haya yanatokea halafu mtu anasema ni propaganda dhidi ya wageni,kweli? Inaudhi sana.

Uso wa nyoka unaposema hiki kitu hakifai, sema kwanini hakifai na kinachofaa kinakuwaje.

Unaposema huyo mwalimu ni kihiyo, toa ushuhuda ni kwanini hafai. Amefanya nini mpaka ukaamua hafai. Kabla hajaajiriwa aliyekuwepo alikuwa ni bora zaidi?

Tafadhali uwe na facts kama za dada spinderella.
 
spinderella:

Madai ambayo umeainisha ni ya kweli. Siyakatai wala siyapingi.

Tr. Hadija personally nilishagombana naye kwa kumchapa mwanangu.

Tukisema matatizo uliyotaja hapo ni kwa sababu ya David kwa kweli tutakuwa tunamwonea yule jamaa.

Je kabla ya David kuja, shule ilikuwaje? Ilikuwa ni bora zaidi? Screen shot za matokeo ya miaka mitatu iliyopita, je David ndiye alikuwa mwalimu mkuu?

David hana hata mwaka mmoja pale, kama sijakosea na amekuta pale pamejaa uozo hasa mwalimu wa academic ambaye aliondoka. Na mbaya zaidi David alivyotaka kuingilia system iliyokuwepo ya uozo, jamaa wakamwitia immigration. Nafikiri ndiyo maana akawa mpole.

Mwalimu wa academic alikuwa anasajili na kujaza watoto darasani bila kuzingatia idadi inayoruhusiwa kwenye darasa na hasa ukizingatia idadi ya waalimu ni wawili tu kila darasa. Unakuta mzazi unalipa ada ya mwaka mzima, lakini mwalimu wa academic anakumbia lazima tuition ifanyike. Akishachukua hela hafikishi kwa yule mwalimu anayemfundisha mwanao na hata huyo mwalimu hajui kama kuna maongezi yamefanyika. Na mbaya zaidi akapiga marukufu mwalimu kuwasiliana na mzazi wa mtoto. Hao ndiyo wameharibu shule.

Kama ni uongozi mbovu basi lawama ziende kwenye board ya shule kwa sababu wao ndiyo wanahusika kikamilifu. Kama David anapelekewa malalamiko na hayafanyii kazi basi huo nao ni uzembe.


Watoto wangu walipojiunga pale nilichoweza kubaini ni kuwa ile shule tayari ilikuwa inaenda downhill. Wengi walidai ni baada ya kuugua kwa Tr. Pamela ( may she rest in peace). She was running the school from the hospital, mpaka siku moja baba yao watoto akagombana nae, akamuambia kuwa wakati ww unatibiwa na ss watoto wetu wanaharibikiwa akamuuliza ni kwann asiwekwe mtu mwengine? Thank God wakalisikia hili akawekwa yule Msigwa, mambo yakaanza kupick up kidogo mara na yeye aka disappear. Ndio sasa akaja huyo David Wathiga.
Kweli kwenye kuleta changes kuna vyengine ni vya immediate na vyengine vinahitaji muda. Sasa swala lakuweka supervisor kwenye mabasi hii ni immediate, usisubiri mpaka watoto wasukumane na baya litokee, au dereva kupitiliza na watoto ambao ni wa mwisho kuteremka ambao ndio walikuwa wa kwangu na kwenda kuwafanyia lakuwafanya.
Swala la kuweka maji na sabuni vyooni, hili haliitaji muda.
Walimu kutosahihisha madaftari, au mwalimu kuonekana hayuko competent kwenye somo analofundisha, usipo chukuwa hatua anaepoteza ni mtoto na mm mzazi.
Mwanangu anafinywa mpaka anavilia damu, akaniomba nimpe 3 days alifanyie kazi halafu atanipa feedback, akakaa kimya na mwalimu kwa dharau anasema mwanao atakuwa ameichoka shule. Hii ndio ilikuwa last draw, i wasn't taking anymore shit and paying for it on top of it all, nikawahamisha.
Sir, mwanangu wa grade 3 anasoma mambo ya leadership, kwenye school leadership it clearly says that the Head Teacher has the duty to ensure the smooth running of the school by supervising the teachers and other activities in the school. Kwahiyo mm naanza na yeye, yaani alichokuwa ananikera ni kukusikiliza kwa makini like he cares na kukuahidi feed back halafu anakaa kimya mpaka utakapoenda kulalamikia kengine.
Walimu kwenye class parties wanakuja na mifuko ya kukusanyia vyakula vya watoto, lol. Wanawakatia watoto vi sausage, vipaja vya kuku wanakula wao, wanawapa vi juice, soda zote wakusanya.
They need a no non-sense person to turn that school around.
 
Watoto wangu walipojiunga pale nilichoweza kubaini ni kuwa ile shule tayari ilikuwa inaenda downhill. Wengi walidai ni baada ya kuugua kwa Tr. Pamela ( may she rest in peace). She was running the school from the hospital, mpaka siku moja baba yao watoto akagombana nae, akamuambia kuwa wakati ww unatibiwa na ss watoto wetu wanaharibikiwa akamuuliza ni kwann asiwekwe mtu mwengine? Thank God wakalisikia hili akawekwa yule Msigwa, mambo yakaanza kupick up kidogo mara na yeye aka disappear. Ndio sasa akaja huyo David Wathiga.
Kweli kwenye kuleta changes kuna vyengine ni vya immediate na vyengine vinahitaji muda. Sasa swala lakuweka supervisor kwenye mabasi hii ni immediate, usisubiri mpaka watoto wasukumane na baya litokee, au dereva kupitiliza na watoto ambao ni wa mwisho kuteremka ambao ndio walikuwa wa kwangu na kwenda kuwafanyia lakuwafanya.
Swala la kuweka maji na sabuni vyooni, hili haliitaji muda.
Walimu kutosahihisha madaftari, au mwalimu kuonekana hayuko competent kwenye somo analofundisha, usipo chukuwa hatua anaepoteza ni mtoto na mm mzazi.
Mwanangu anafinywa mpaka anavilia damu, akaniomba nimpe 3 days alifanyie kazi halafu atanipa feedback, akakaa kimya na mwalimu kwa dharau anasema mwanao atakuwa ameichoka shule. Hii ndio ilikuwa last draw, i wasn't taking anymore shit and paying for it on top of it all, nikawahamisha.
Sir, mwanangu wa grade 3 anasoma mambo ya leadership, kwenye school leadership it clearly says that the Head Teacher has the duty to ensure the smooth running of the school by supervising the teachers and other activities in the school. Kwahiyo mm naanza na yeye, yaani alichokuwa ananikera ni kukusikiliza kwa makini like he cares na kukuahidi feed back halafu anakaa kimya mpaka utakapoenda kulalamikia kengine.
Walimu kwenye class parties wanakuja na mifuko ya kukusanyia vyakula vya watoto, lol. Wanawakatia watoto vi sausage, vipaja vya kuku wanakula wao, wanawapa vi juice, soda zote wakusanya.
They need a no non-sense person to turn that school around.
Nekuelewa mama na hamna kitu ulichoongeza chumvi.

Sikatai kabisa kwamba st. Columba's sio ile ya zamani. Teacher Pamela alikuwa amefanya pale kazi kwa muda mrefu sana, na aliijua in and out shule. RIP.

Bora mara mia David kuliko, Msigwa. Mambo yaliyomtoa hapo ni aibu kuyataja japo alikuwa amefoji documents kumbe ni mganda.

Japo na wewe pia nakulaumu kwani issue ya mtoto kubakwa ilikuwa sio issue ya kunyamaza na kuacha mambo yaishe.

Naelewa zamani kila basi lilikuwa na mwalimu kama msindikizaji na alikuwa anapewa elfu 20 kila siku. Labda kama siku hizi hawapewi.

Nakubali kabisa kwamba hiyo shule imekaa sehemu strategic lakini uongozi ni tatizo. Nakubali pia kuna vitu immediate na vingine ni long term.

David ana mapungufu yake kama ulivyosema ila nafikiri tatizo ni kubwa zaidi ya mwalimu mkuu bila bodi ya shule kuhusishwa.

Lakini pia kwenye mkutano wa wazazi na waalimu, kuna wazazi wengine hawaongei. Issue kama hizi zingekuwa zinaandikwa kama maoni ya shule bila kuweka jina ili bodi ijue kinachoendelea.

Na zaidi unapompa mwalimu mshahara wa laki tatu huku unaingiza milioni moja na, usitegemee miujiza hapo. Waalimu wawili kwa watoto wadogo 50 au zaidi haiwapi motisha waalimu.
 
Mleta mada, unaonekana una hasira sana baada ya kufukuzwa kazi hapo shuleni kwa sababu ya kula ada bila kupeleka ofisini.

St. Columba's ilikuwa ni shule bora za English medium, japo kwa sasa imedoda kwa sababu ya watu kama nyie.

Shule ni ya kanisa, lakini mlikuwa mnachukua rushwa kusajili watoto.

Mlikuwa mnachukua ada kutoka kwa wazazi kama cash na kuzila badala ya kumwambia mzazi apeleke bank. Mbaya zaidi mlikuwa mnatoa risiti fake.

Juzi tu wala rushwa wote wamefukuzwa kazi hapo shuleni, sasa mnalialia kwenye mtandao.

Maisha ni sehemu yoyote ile sio lazima hapo shuleni.

Binadamu bwana.
Kumbe....
 
Nani huyo...!?
hahaha dah kama wewe ni mwanaume na wazazi wako wanajisifu wana kijana mjini imekula kwao....acha umbea kwanza jina lako nikajua unaitwa Kabang(tgo)kumbe ni Kaabah....Achana na maisha ya watu pambana kufanikisha maisha yako acha walimwengu wahangaike na malimwengu yao.KULA NYAMA NYAMAZA pambaf
 
hahaha dah kama wewe ni mwanaume na wazazi wako wanajisifu wana kijana mjini imekula kwao....acha umbea kwanza jina lako nikajua unaitwa Kabang(tgo)kumbe ni Kaabah....Achana na maisha ya watu pambana kufanikisha maisha yako acha walimwengu wahangaike na malimwengu yao.KULA NYAMA NYAMAZA pambaf
Umbea kaufanya mama'ako punguani thalatha wewe na safari hii vihiyo wote ntarudi kwetu...!
 
Umbea kaufanya mama'ako punguani thalatha wewe na safari hii vihiyo wote ntarudi kwetu...!
Kaabah usitukane.

Nafikiri mada ilipofikia umeshuhudia mwenyewe.

Aliyepeleka hilo chapisho kwenye gazeti iwe ni wewe au mwingine alikuwa na lake jambo. Badala ya kuzungumzia matatizo yaliyopo shuleni, yeye alikuwa anamlenga mtu binafsi bila hata kugusia matatizo na nini kifanyike.

Nikuambie kitu, siku moja Mungu atafungua milango yako na utasafiri nchi za watu. Utafanikiwa kupata kibarua. Sasa utakapo baguliwa kumbuka na wewe ulishawahi kubagua.

Ndugu zetu watanzania wapo nje ya nchi wanapiga mzigo sehemu tofauti tofauti duniani. Mpe mgeni stahiki yake.

Biblia inasema msibague wageni (conditions apply) kwani hata nyinyi mlikuwa wageni nchi ya misri.
 
Nekuelewa mama na hamna kitu ulichoongeza chumvi.

Sikatai kabisa kwamba st. Columba's sio ile ya zamani. Teacher Pamela alikuwa amefanya pale kazi kwa muda mrefu sana, na aliijua in and out shule. RIP.

Bora mara mia David kuliko, Msigwa. Mambo yaliyomtoa hapo ni aibu kuyataja japo alikuwa amefoji documents kumbe ni mganda.

Japo na wewe pia nakulaumu kwani issue ya mtoto kubakwa ilikuwa sio issue ya kunyamaza na kuacha mambo yaishe.

Naelewa zamani kila basi lilikuwa na mwalimu kama msindikizaji na alikuwa anapewa elfu 20 kila siku. Labda kama siku hizi hawapewi.

Nakubali kabisa kwamba hiyo shule imekaa sehemu strategic lakini uongozi ni tatizo. Nakubali pia kuna vitu immediate na vingine ni long term.

David ana mapungufu yake kama ulivyosema ila nafikiri tatizo ni kubwa zaidi ya mwalimu mkuu bila bodi ya shule kuhusishwa.

Lakini pia kwenye mkutano wa wazazi na waalimu, kuna wazazi wengine hawaongei. Issue kama hizi zingekuwa zinaandikwa kama maoni ya shule bila kuweka jina ili bodi ijue kinachoendelea.

Na zaidi unapompa mwalimu mshahara wa laki tatu huku unaingiza milioni moja na, usitegemee miujiza hapo. Waalimu wawili kwa watoto wadogo 50 au zaidi haiwapi motisha waalimu.
Namshukuru mungu mtoto aliyebakwa hakuwa mwanangu but it could have been my child na iliniuma sana. Mama wa huyo mtoto alikuja kusema hilo jambo kwenye teachers' and parents' meeting kututahadharisha wazazi wengine japo alisha chukuwa hatua za kisheria na watoto husika walifukuzwa shule, japo it could have been avoided had they been good supervision.
 
Kaabah usitukane.

Nafikiri mada ilipofikia umeshuhudia mwenyewe.

Aliyepeleka hilo chapisho kwenye gazeti iwe ni wewe au mwingine alikuwa na lake jambo. Badala ya kuzungumzia matatizo yaliyopo shuleni, yeye alikuwa anamlenga mtu binafsi bila hata kugusia matatizo na nini kifanyike.

Nikuambie kitu, siku moja Mungu atafungua milango yako na utasafiri nchi za watu. Utafanikiwa kupata kibarua. Sasa utakapo baguliwa kumbuka na wewe ulishawahi kubagua.

Ndugu zetu watanzania wapo nje ya nchi wanapiga mzigo sehemu tofauti tofauti duniani. Mpe mgeni stahiki yake.

Biblia inasema msibague wageni (conditions apply) kwani hata nyinyi mlikuwa wageni nchi ya misri.
Acha upuuzi wewe yani mtu mtu aishi illegally nchini halafu tusipige kelele kisa tunafanya dhambi ya ubaguzi!!! .... Umeniharibia siku yangi bwiga wewe
 
Kuna mkenya mmoja ni head master wa shule moja mkoani Arusha, aisee,nilisikia anavuta almost 10,000,000 per month na huduma zingine bure kutoka kwa mwajiri wake. Yaani watanzania tunakubali wakenya wachukue maslahi ya juu kwenye nchi isiyo yao huku mbongo akiambulia vijilaki kwa mwezi.
Competence mkuu. Unakuta mtu ana vyeti vizuri degree au masters ila kujieleza sifuri, work protocol sifuri, ubunifu sifuri. Yaani mtu kaajiriwa anasubiri na maelekezo nini kifanyike. Hata Mimi sipendi wageni wachukue nafasi za wazawa ila mimi kama mwekezaji siangalii cheti naangalia uwezo Wa mtu kufanya kazi Fulani. Steve wa apple anasema hatuajiri mtu ili tumuambie nini cha kufanya bali tunaajiri mtu atuambie nini cha kufanya na kutuongezea thamani. Shida tunapigania vyeti wakati vyeti havifanyi kazi. Drop out kama akina Bill Gate wamefanya vizuri kuliko wenye PhD za programming, muulize Bill Gate cheti chake kinasomekaje?
 
Mkenya huyo David ni mjeuri sana,hata mimi nilikuwa na watoto hapo ila niliwatoa kwa ajili ya huyo mwl.mkuu.
Nilimpelekea malalamiko kuhusu watoto wadogo wa baby class kukosa mwalimu.kwenye gari na ni zaidi ya mara moja,akawa anasema atafanyia kazi atanijulisha lakini hakujulishi chochote.
Pia alikuwepoa au bado yupo transport manager wao anaitwa ELLY alikuwa active sana ila baadae akaiga mtindo wa David wa kutotoa mrejesho kwa malalamiko ya wateja,pengine ni kwakuwa akiyapeleka kwa Wathiga hayafanyiwi kazi.
Mtoto wa baby class kwenye hiyo shule wakati wa teacher PAMELA(RIP),alikuwa anapandishwa kwenye gari,lakini wakati wa David mtoto anakamata kwa mikono ngazi ya Coaster (school bus)ili aweze kupanda ndani ya gari,au mpaka apate mtu wa umri mkubwa wa darasa la juu ampandishe na awe anamfanya kama ndugu yake na kuwa na wajibu huo kila siku,nilimlalamikia hili David na hakulifanyia kazi,mtoto anakaa kwenye kiti,anatolewa na mkubwa,akajibane sehenu nyingine,wakati nalipia kiti chake.
Wathiga ameiaharibu sana hiyo shule,ni mjeuri anakodoa tu ile mimacho yake mikubwa ila anaona bora watoto wa watanzania waharibikiwe.
Badala yake imeharibika shule.
 
Mkenya huyo David ni mjeuri sana,hata mimi nilikuwa na watoto hapo ila niliwatoa kwa ajili ya huyo mwl.mkuu.
Nilimpelekea malalamiko kuhusu watoto wadogo wa baby class kukosa mwalimu.kwenye gari na ni zaidi ya mara moja,akawa anasema atafanyia kazi atanijulisha lakini hakujulishi chochote.
Pia alikuwepoa au bado yupo transport manager wao anaitwa ELLY alikuwa active sana ila baadae akaiga mtindo wa David wa kutotoa mrejesho kwa malalamiko ya wateja,pengine ni kwakuwa akiyapeleka kwa Wathiga hayafanyiwi kazi.
Mtoto wa baby class kwenye hiyo shule wakati wa teacher PAMELA(RIP),alikuwa anapandishwa kwenye gari,lakini wakati wa David mtoto anakamata kwa mikono ngazi ya Coaster (school bus)ili aweze kupanda ndani ya gari,au mpaka apate mtu wa umri mkubwa wa darasa la juu ampandishe na awe anamfanya kama ndugu yake na kuwa na wajibu huo kila siku,nilimlalamikia hili David na hakulifanyia kazi,mtoto anakaa kwenye kiti,anatolewa na mkubwa,akajibane sehenu nyingine,wakati nalipia kiti chake.
Wathiga ameiaharibu sana hiyo shule,ni mjeuri anakodoa tu ile mimacho yake mikubwa ila anaona bora watoto wa watanzania waharibikiwe.
Badala yake imeharibika shule.
Kama ndiyo hivyo, basi na yeye ana matatizo pia.
 
Acha upuuzi wewe yani mtu mtu aishi illegally nchini halafu tusipige kelele kisa tunafanya dhambi ya ubaguzi!!! .... Umeniharibia siku yangi bwiga wewe
Sidhani kama unajua kinachoendelea hapa. Ni sawa sawa umepanda basi la mwendo kasi, ukakuta mada inaendelea na wewe ukajiunga.

Lakini mtoto wa mwisho utamjua tu.

By kaka yako bwiga, kwenda kwa Mdogo wake bwiga kitinda mimba ambaye kizazi cha ubwiga ndipo kilipoishia.
 
Kama ndiyo hivyo, basi na yeye ana matatizo pia.
Sasa mkuu ulikuwa unajua hayo!? yakielezwa mambo namna yanavyokwenda mnasema kuna chuki binafsi, yule jamaa hapo juu sikupenda kumtolea maneno makali ila kanikera mno kwa Kejeli zake,
Naamini siku zote hoja inazimwa kwa hoja, sasa watu wanaeleza matatizo ya uongozi wa shule yeye analeta kejeli

Alete kanusho ya haya yaliyoripotiwa kama yeye kweli ni mtetezi wake
 
Kama ndiyo hivyo, basi na yeye ana matatizo pia.
Huo ndiyo ukweli,hawezi kuyakana haya,kwakuwa wote tulikuwa nabwatoto hapo,hata tuliyokuwa tunayasema katika siku zile za vikao na bodi ya Mutungi hakuna hata ambacho na hiyo bodi pia imefanyia kazi.
Yapo mabovu ya bodi hapo ni machache kuliko mengi yaliyokuwa ndani ya uwezo wa mwalimu mkuu David.
Shule ina walimu wabovu wengi ambao mtoto anapatia swali,wao bila kujiridhisha wanam-mark wrong mtoto,yaani ndiyo wana mmaliza kabisa wakati alikuwa anajua.
 
Back
Top Bottom