Stroke
JF-Expert Member
- Feb 17, 2012
- 34,679
- 40,933
Ni mara ya pili sasa mkenya huyu akisababisha mimi kupoteza tenda kwa kupitisha maneno ya uongo na fitna juu ya uwezo wangu,kufanikisha azma yake ya kupata tenda hizo..nikiangalia uwezo ninao mkubwa kushinda yeye , ila yeye amenizidi katika fani ya fitna..nimfanyaje huyu jamaa maana nazidi kupoteza fedha nyingi...