Duhh! Fanya utafiti utupe taarifa kamili. Maiti ngapi ziko Manyara hospital, ngapi ziko Moshi na ngapi ziko Arusha? Je, kuna ndugu wanaotafuta watu waliowakosa huko Arusha. Idadi ya wanaotafutwa ni wangapi?
Infact, haiingii kwenye akili kuwa waliuawa watu wawili tu wakati risasi zilifyatuliwa kama mvua na zililenga makusanyiko ya watu.
Imekuaje mkenya ashiriki maandamano ya kupinga uchaguzi wa meya wa Arusha? na mkenya huyo ni miongoni mwa marehemu waliouliwa ktk maandamano ya Arusha! Jee, inawezekana wa Kenya wengi walishiriki maandamano hayo? nani aliwaalika? na nani alilipia gharama zao za kuja Arusha kushiriki maandamano hayo? tunasubiri INTELEGINSIA ITUPASHE?
SOURCE: CHADEMA yagomea mazungumzo na CCM
Fanya uchunguzi usiropoke tu, ni aibu kwa mwana jamiii kuwa hivyo "think before" kwani risasi zilikuwa na senser ya kuwatambua waandamanaji tu?
Imekuaje mkenya ashiriki maandamano ya kupinga uchaguzi wa meya wa Arusha? na mkenya huyo ni miongoni mwa marehemu waliouliwa ktk maandamano ya Arusha! Jee, inawezekana wa Kenya wengi walishiriki maandamano hayo? nani aliwaalika? na nani alilipia gharama zao za kuja Arusha kushiriki maandamano hayo? tunasubiri INTELEGINSIA ITUPASHE?
SOURCE:1) CHADEMA yagomea mazungumzo na CCM
SOURCE:2) HabariLeo | Marehemu maandamano ya Chadema Mkenya
Imekuaje mkenya ashiriki maandamano ya kupinga uchaguzi wa meya wa Arusha? na mkenya huyo ni miongoni mwa marehemu waliouliwa ktk maandamano ya Arusha! Jee, inawezekana wa Kenya wengi walishiriki maandamano hayo? nani aliwaalika? na nani alilipia gharama zao za kuja Arusha kushiriki maandamano hayo? tunasubiri INTELEGINSIA ITUPASHE?
SOURCE:1) CHADEMA yagomea mazungumzo na CCM
SOURCE:2) HabariLeo | Marehemu maandamano ya Chadema Mkenya