imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 46,674
- 71,036
Nimehamia Changamwe kwa sasa.Sawa mkuu utupokee tukija huko Mtwapa.
Nimehamia Changamwe kwa sasa.Sawa mkuu utupokee tukija huko Mtwapa.
Mahamri maana yake njoo upige magoti ule Mbaazi Mombasa Raha.Asa mkuu sijui hivyo vitu na uliposema na mbaazi nikadhani chakula vyote.
Mkuu wewe sio mkimbizi huku kuhama hama kote kwanin!!!!!!!!!!Nimehamia Changamwe kwa sasa.
Daaaah hizi lugha zingine hatari astakafulahi!!!Mahamri maana yake njoo upige magoti ule Mbaazi Mombasa Raha.
Maisha kuhamahama sio kukaa chini ya Mzazi mpaka unaota MviMkuu wewe sio mkimbizi huku kuhama hama kote kwanin!!!!!!!!!!
Huku vyote vyaliwa mgeni njoo ila usije na chupi ili mwenyeji afaidi.Daaaah hizi lugha zingine hatari astakafulahi!!!
Msamiati km chakula!!!
Huku vyote vyaliwa mgeni njoo ila usije na chupi ili mwenyeji afaidi.
View attachment 1224117
Karibu Mwambasa Hilwa Hilwa.
Mombasa kuna kila aina ya Watoto ni wewe na Ashki zako tu.Hawa tribe gani mkuu mbona km wasomali hivi!!?
Walikuja Kwa kujitolea tuFicha ujinga,Wazamiaji walikuja kutoka South Afrika kuja kutusaidia
Kujitolea ndio kutusaidia kwenyewe.Walikuja Kwa kujitolea tu
Ipewe kiti monkey leo imesema kweli ...nikweli ukiishi kibera wewe ni mfu unayetembeaMimi ni dead man Walking lakini mbona siwaoni hao Chewa.
Kujitolea ndio kutusaidia kwenyewe.
Kweni wewe utaishi milele.Ipewe kiti monkey leo imesema kweli ...nikweli ukiishi kibera wewe ni mfu unayetembea
Walikuja Kwa kujitolea tu
😁😂Kusaidiwa siyo kosa
Sasa wewe ukiwa umechoka kulala na mkeo unaweza kuniita nije kukusaidia.