Mke wangu simuelewi

Mke wangu simuelewi

mwenye bahati habahatiki.......

wengine wakirudi wanatamani hata kuguswa lakin ndo kwanza wamegeuziwa mgongo

kwanza umenionea wapi my King grafani11
grafani11 amepigwa marufuku kuonekana humu kwenye mtandao kisa eti anatamka love love kwako
So umtegemee mpaka mwezi mwandamo ndo utamuona humu
 
Last edited by a moderator:
kazi kweli kweli


Hutaki akuombe? Mwambie akutafutie msaidizi, au ulidhani katoka kwao kaja kwako kufuata ugali???
 
Mtafutie kazi yoyote,
na kama uko bongo
hakikisha unamtafutia mitaa ya posta
uone kama atakuwa hata na hamu ya hiyo kitu.
Mamndenyi bana, sasa hao wa posta ndio inakuaje? ofsn si wanatumiaga lift tu au?
Anyway, nahisi huyu wifi yako atakua amesoma lile andiko linalosema, mwanamke atamlinda mumewe, so ndio hivyo tena kaamua kutoa ulinzi wa uhakika, haibiwi mtu hapo!
 
imekaa kufikirika nadhani mtoa mada yuko bado under age muda unaofantasize,amka fanya ya maana wacha kuwaza ngono:rapture:
 
Wakuu,
yani shem wenu nikianza J3 kazini mpka Ijumaa nikirud toka ofisini anataka gemu..hua ananiachaga wikiend tu kwa vile hua nashindaga nae nyumbani..mpaka sasa sielewi ni kua haniamini au ni nini..na mimi sijawahi kufikiria kumsaliti mke wangu ata siku 1
Aaah!!How old are u??unakimbiaje majukumu
 
Yaani posta ni full usafiri wa shida,
mpaka afike ofisini atakuwa hoi,
na kupata usafiri wa kurudi home ni kasheshe,
akifika home yuko hoi kuchoka, hawezi hata kuwa na hamu ya
hayo makitu ya sita kwa sita.

naomba kujua ni kwa nini mitaa ya posta na kuna nini?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom