Kongosho
JF-Expert Member
- Mar 21, 2011
- 35,987
- 24,227
God knows ni mkewe, hakuna dhambi kumpa daily
majibu mengine jaman,only God knows.
majibu mengine jaman,only God knows.
Wakuu,
yani shem wenu nikianza J3 kazini mpka Ijumaa nikirud toka ofisini anataka gemu..hua ananiachaga wikiend tu kwa vile hua nashindaga nae nyumbani..mpaka sasa sielewi ni kua haniamini au ni nini..na mimi sijawahi kufikiria kumsaliti mke wangu ata siku 1
Majangaaa majangaa mbona majangaa mbona majangaa HorsePower hebu kuja kipande hii useme neno Heaven on earth nimekumiss wewe
hahaaa Mr Rocky nimekumiss sana.......
haya ni majanga premier.............sijui hata tufanyaje sie!!!!!!
mimi49 kafanyaje tena!!!!!!sasa kama we humuelewi afu waishi naye, je mimi49 ambaye yuko "somewhere far far away" ataanzaje kumuelewa huyo mkeo?, pili suala la mama kupata mgegedo ni haki yake vinginevyo susia matakwa yake utakuja tena hapa ukilia, na pia kama unahisi unahitaji msaada ajiri kijana (HB kisha uwe unajifanya kazi za ofisini ni nyingi, sometimes usirudi nyumbani) tena utakuwa umesaidia sana wadogo zangu manake wanajazana kitaa na huku wana elimu tosha kumkichwa..
Aite watu wamsaidie sasa kama anaona kero kwa mke wake kutaka kila siku
Au ampe kazi ya kumkeep busy ikifika jioni awe choka mbaya asiwe na tamaa ya hiyo mambo
Wengine wanatafuta hizo mambo wanakosa wanaenda kubaka kuku na mbuzi yeye anazipata na anaringa
Mtafutie kazi yoyote,
na kama uko bongo
hakikisha unamtafutia mitaa ya posta
uone kama atakuwa hata na hamu ya hiyo kitu.