Mke wangu pokea toba yangu

Mke wangu pokea toba yangu

Mke wangu The secretary embu njoo faragha achana huu uzi naona hauna tija darling ushachafuka.
 
Kama ni toba ya dhati natumai ataupokea kwa mikono miwili
 

mmmmmmmh!!tutayaona kama
kweli maana mfungo wenyewe ndio unaelekea ukingoni!!
Ruttashobolwa njoo uwe shahidi pia!!
 
Last edited by a moderator:
Zamani tuliita ni senema. Leo wanaita ni muvi. Eti hii tela nangojea mkanda wenyewe.
 
Wakat juzi tu umekuja kuniomba uniliwaze kisa mr wangu kasafiri nikakukataa leo unaomba toba ,majanga
 
Back
Top Bottom