Lady doctor
JF-Expert Member
- Apr 13, 2013
- 8,756
- 7,005
Wivu ni ugonjwa ujue.......potezea bana
wivu sina ila roho inauma
Wivu ni ugonjwa ujue.......potezea bana
Lady doctor, kwa niaba ya Arushaone kamanda, niseme tu nimekumiss!
The secretary,
La'aziz mboni ya jicho langu,
Nyongo mkalia ini,
Kondom mvaliwa niniliyu,
Pilipili mnogesha kachumbari,
peteroli mwendesha gari,
Miwani mwangazia macho,
Korodani mbeba kikojoleo,
Najuta kwa yote niliyokutendea,
Sio mimi ilikuwa ni shaitwan,
Naapa tena naapa,
Nikitembea tena nje,
Na nitumbukie mto ruaha,
Mamba wote wanigeuze kitoweo,
Kuanzia leo sipepesi tena macho.
Naapa haya mbele ya mashahidi,
si wengine ni:
Husninyo afrodenzi na Michelle.