Mke wangu pokea toba yangu

Mke wangu pokea toba yangu

Bishanga

JF-Expert Member
Joined
Jun 29, 2008
Posts
15,321
Reaction score
10,077
The secretary, la'aziz mboni ya jicho langu, nyongo mkalia ini, kondom mvaliwa niniliyu, pilipili mnogesha kachumbari, peteroli mwendesha gari, miwani mwangazia macho, najuta kwa yote niliyokutendea, sio mimi ilikuwa ni shaitwan, naapa tena naapa, nikitembea tena nje, na nitumbukie mto ruaha, mamba wote wanigeuze kitoweo, kuanzia leo sipepesi tena macho. naapa haya mbele ya mashahidi, si wengine ni: Husninyo afrodenzi na Michelle.
 
Bishanga nauza bikira za wanawake na wanaume. Njoo tukufanyie repair, unakuwa mpyaaa kama umetoka kuzaliwa. Hata govi tunarudisha akupeleke kwa wajuvi mwenyewe. Hapo utasamehewa fastaaa.
 
Bishanga nauza bikira za wanawake na wanaume. Njoo tukufanyie repair, unakuwa mpyaaa kama umetoka kuzaliwa. Hata govi tunarudisha akupeleke kwa wajuvi mwenyewe. Hapo utasamehewa fastaaa.

astaghafirurah King'asti! Kha!
 
Last edited by a moderator:
Bishanga nauza bikira za wanawake na wanaume. Njoo tukufanyie repair, unakuwa mpyaaa kama umetoka kuzaliwa. Hata govi tunarudisha akupeleke kwa wajuvi mwenyewe. Hapo utasamehewa fastaaa.

hahahaha. Umeumiza mbavu zangu
 
Bishanga
Toka lini mwanaume akaomba msamaha???.
 
Last edited by a moderator:
Umefanya vyema kuomba msamaha ndugu kwani najua atarudisha moyo nyuma na kukusamehe, usijali yote ni maisha hayo, atakurudia tu ondoa shaka, je umemnunulia kitenge cha msamaha?
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom