Mke wangu nimemtimua leo

Mke wangu nimemtimua leo

Wewe Kwanzaa Ni fuska ndo maana umechukua maamuzi ya haraka
Kuchapiwa kupo tu hakuepukiki. Unavowala wa wenzio kumbe inauma ee. Afu nikuulize Mama yako atakupa pampuchi? Acha laana wewe.. Huyo mwanamke angekukamata wewe angekuacha? Umejichunguza mapungufu yako had akusaliti? Si ajabu humridhishi unamalizia huko kwingne Afu unakurupuka kumuacha utajuta. Afu sema umeamua kuwa malaya muhuni usieelewwka we ulidhani changamoto za ndoa Ni hizo tu. Tena umgemsamehe kumkamata kuliko kuja kujua umelea watoto wasiowako ukiwa unamiaka sabin. Kila la kheri kuurudia ukapera
 
Mke wangu niliyekaa naye kwa muda wa miezi 7 kwenye ndoa sasa nimeamua kuachana naye moja kwa moja.

Nimemwambia aondoke kwangu baada ya kumpa uthibitisho wa kunisaliti na yeye kuukataa bahati nzuri sijazaa naye na Jana niliamua kuenda naye kufanya pregnant test baada ya kukuta hana mimba nimeamua kuachana naye.

Niligundua amenisaliti kwa kiwango cha hali ya juu, sasa baada ya kuthibitisha aliyekuwa anamdanganya na yeye ameoa yupo na mke nimeamua nimuache nione kama ataweza kuwaoa wote wawili.

Nilimwamini sana nilimpa kila kitu mpaka nikamfundisha kupanda ndege, kutumia baadhi ya vifaa vya ndani kwani alikuwa hana uelewa wa baadhi ya matumizi ya vifaa alivyokuta ndani kwangu.

Sina mapenzi tena na mwanamke wacha niamishie mapenzi yangu kwa mama yangu. Kwa sasa sitaki mwanamke wa aina yeyote niacheni nitulie nikichoka nitakuwa nikienda kwa mama yangu na ananifariji.
Bora ulivyomuacha, inaelekea kavumilia mengi sana toka kwako!
Hukuwa mume bora kabisa wewe, unathubutu kujitapa kwa masimulizi juu ya wema uliomfanyia mkeo? Kakusaliti sawa unahaki ya kufanya maamuzi, nini kinakusukuma kutaja mapungufu aliyokuwa nayo? Kama wewe ndiye mume ulitaka nani amfundishe hayo unayoyasimulia hapa?
 
Duuu hii mpyaa..Mama hawezi kukupa Yale mambo mengine..Tuliza Munkariii utapata Shem.mpyaaaa
 
Mkuu kuna mambo mengine mama yako anakufariji vp?emvu acha mambo ya ajabu
Nachelea ku-Mkapa huyu jamaa asijesema ooh umenitusi...

Yaani umfanyie jambo mwanamke kisha uanze kumtangaza kisa, kakusaliti?
Ooh nahamishia mapenzi kwa mamaangu, halafu babaako akahamishie kwa nani??
 
Ndiyo maana amekusaliti, Wanaume kama ninyi Wanawake huwa aidha wanawamwaga au wanakusaliti kama alivyokufanyia, kwa maana hakuheshimu, Mwanamke anapenda Mwanaume strong na siyo lege lege, sasa tabia uliyoonyesha ya kuleta hapa malalamiko ya Mke wako kumegwa, inaonyesha wewe ni lege lege na ndiyo maana alikudharau na kutembea nje!

Kwa kukusaidia tu jaribu kubadilika na uwe Mwanaume imara ili siku nyingine ukipata mwingine akuheshimu, tatua matatizo na siyo kulia lia, Mwanamke anashindwa kuona tofauti yako na yake na hatimaye kupoteza heshima kwako na kukumwaga!
VP we demu nini? Maaana ulichoongea hapa ni utumbo wa mbuzi na firigisi za kuku ambazo ni dili uswazi kwetu huku.point kama hz huwezi kutoa ukiwa masaki mlimani cty HV coz mapenzi ni nin?
 
Ulimfundisha kupanda ndege kwani ww ni mhudumu wa kwenye ndege?
 
Mama anakufariji vipi we kijana? Mama ana nafasi yake kwako, lakini hakuna mtu anaweza kuchukua nafasi ya ubavu wako. Utaishia kulia upweke tu.!!
 
Nachelea ku-Mkapa huyu jamaa asijesema ooh umenitusi...

Yaani umfanyie jambo mwanamke kisha uanze kumtangaza kisa, kakusaliti?
Ooh nahamishia mapenzi kwa mamaangu, halafu babaako akahamishie kwa nani??
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom