Accumen Mo
JF-Expert Member
- May 15, 2022
- 18,030
- 40,097
zinaa ni uchafu yaani unaishi na mtoto wa watu ushamlaza matiti bila hata ya ndoa.
Kwani kakwambia yeye ni mkristo.Kwani amekana kwamba sio mkristo?
TakatakaUkweli unauma sana
Kwanza kabisa naomba nishauri, ukibahatika kukutana na mtu unayempenda hata siku moja usije ukauliza au ukapata udadisi wa kuuliza mambo yake ya zamani, wewe Anza kumpenda pale mlipo anzia.
Okey turudi kwenye mada, nimekuwa nikiishi na mke wangu tangu tuanze kukaa pamoja huu ni mwaka almost WA nane, sijafunga nae ndoa lakini few months to come Mungu akijalia nitafunga nae pingu za maisha.
Katika kukaa kwetu Mungu katujalia watoto kadhaa na tunafuraha.
Mimi kama mwanaume tangu nizaliwe sijawah kukutana na mwanamke mwingine kimwili na Wala sijawahi kufikilia kumsaliti Kwa sababu nampenda sana tena sana.
Lakini mambo yalikuja kubadilika siku tulioamua kusimuliana mambo ya nyuma hasa mahusiano, Nilimwambia yangu ambayo yalikuwa dhaifu sana, Alinisimulia Mengi ya kwake alikuja kupigilia msumali pale aliponiambia Aliwahi KUNISALITI daaah.
Hapo hadi vipepeo vilicheza tumboni, nilishituka sana tena sana WHY? Kwa sababu nilimpenda na kumuamini sana kiasi kwamba sijawahi kufikilia kama anaweza nisaliti na Wala sijawahi kumuuliza kama amewahi kunisaliti na alinisaliti.
Mimi nikiwa nakomaa na PCB mitaa Fulani ya mkoa WA Kilimanjaro.
Amekaa na hiyo Siri takribani miaka nane yote niliokaa naye,
Nilijitahidi kumsamehe Kwa moyo wangu wote, lakini imagine unaishi na mwanamke aliekusaliti ingawa anasema mara moja lakini huwezi jua kama ni kweli au laah mana takribani miaka 3 tangu tuanze mahusiano tulitengana mi shule Alevel na yeye shule O level, sasa imagine wewe mwanaume hujawahi kumsaliti daah!!!
Ni kama udhaifu Fulani ivi!,
Laiti angeniambia mapema basi mahusiano yangeisha pale pale lakini tayari tuna watoto,.
Kimoyo safi mwanaume nikatoa msamaha lakini ule ukuta imara alionijengea wa kuto msaliti ukawa umeishia hapo, mana Kuna muda nilikuwa na uwezo hata WA kufanya mapenzi na mtu mwingine but najizuia Kwa sababu yake nikujua hajawahi nisaliti but not for today.
Kuna msichana nimemfukizia Kwa muda Wa wiki tatu, na Leo rasmi nimemsaliti mke wangu kipenzi kama alivofanya yeye miaka kadhaa nyuma. Na nimemsaliti sio Kwa sababu simpendi, hapana ila nataka nibalance mzani nisiwe namuona yeye anahatia ila nami nijiunge nae.
So kutokea Leo sintakuja tena kumsaliti mke wangu na Wala sitawahi kuja kumwambia nimemsaliti.
NB: Kuyaandika haya ni kwamba nimetoa la moyoni Ili hata siku nijichanganye vip yeye hata kuja kujua Wala sitakuja kumuambia
#ACHA YALIOPITA YAPITE
Mahusiano ya mtu wako kabla ya wewe usitake kuyajua kabisa.
NAWASILISHA NAOMBA KUSAMEHEWA[emoji120]
uachage kufuatilia mambo ambayo si ya msingi, utazeeka mapemaKwanza kabisa naomba nishauri, ukibahatika kukutana na mtu unayempenda hata siku moja usije ukauliza au ukapata udadisi wa kuuliza mambo yake ya zamani, wewe Anza kumpenda pale mlipo anzia.
Okey turudi kwenye mada, nimekuwa nikiishi na mke wangu tangu tuanze kukaa pamoja huu ni mwaka almost WA nane, sijafunga nae ndoa lakini few months to come Mungu akijalia nitafunga nae pingu za maisha.
Katika kukaa kwetu Mungu katujalia watoto kadhaa na tunafuraha.
Mimi kama mwanaume tangu nizaliwe sijawah kukutana na mwanamke mwingine kimwili na Wala sijawahi kufikilia kumsaliti Kwa sababu nampenda sana tena sana.
Lakini mambo yalikuja kubadilika siku tulioamua kusimuliana mambo ya nyuma hasa mahusiano, Nilimwambia yangu ambayo yalikuwa dhaifu sana, Alinisimulia Mengi ya kwake alikuja kupigilia msumali pale aliponiambia Aliwahi KUNISALITI daaah.
Hapo hadi vipepeo vilicheza tumboni, nilishituka sana tena sana WHY? Kwa sababu nilimpenda na kumuamini sana kiasi kwamba sijawahi kufikilia kama anaweza nisaliti na Wala sijawahi kumuuliza kama amewahi kunisaliti na alinisaliti.
Mimi nikiwa nakomaa na PCB mitaa Fulani ya mkoa WA Kilimanjaro.
Amekaa na hiyo Siri takribani miaka nane yote niliokaa naye,
Nilijitahidi kumsamehe Kwa moyo wangu wote, lakini imagine unaishi na mwanamke aliekusaliti ingawa anasema mara moja lakini huwezi jua kama ni kweli au laah mana takribani miaka 3 tangu tuanze mahusiano tulitengana mi shule Alevel na yeye shule O level, sasa imagine wewe mwanaume hujawahi kumsaliti daah!!!
Ni kama udhaifu Fulani ivi!,
Laiti angeniambia mapema basi mahusiano yangeisha pale pale lakini tayari tuna watoto,.
Kimoyo safi mwanaume nikatoa msamaha lakini ule ukuta imara alionijengea wa kuto msaliti ukawa umeishia hapo, mana Kuna muda nilikuwa na uwezo hata WA kufanya mapenzi na mtu mwingine but najizuia Kwa sababu yake nikujua hajawahi nisaliti but not for today.
Kuna msichana nimemfukizia Kwa muda Wa wiki tatu, na Leo rasmi nimemsaliti mke wangu kipenzi kama alivofanya yeye miaka kadhaa nyuma. Na nimemsaliti sio Kwa sababu simpendi, hapana ila nataka nibalance mzani nisiwe namuona yeye anahatia ila nami nijiunge nae.
So kutokea Leo sintakuja tena kumsaliti mke wangu na Wala sitawahi kuja kumwambia nimemsaliti.
NB: Kuyaandika haya ni kwamba nimetoa la moyoni Ili hata siku nijichanganye vip yeye hata kuja kujua Wala sitakuja kumuambia
#ACHA YALIOPITA YAPITE
Mahusiano ya mtu wako kabla ya wewe usitake kuyajua kabisa.
NAWASILISHA NAOMBA KUSAMEHEWA[emoji120]
Hapo kuna kinyaa au imani yako ndiyo inakuelekeza hivyo.Kwa hiyo ukishafunga ndoa ndiyo panasafishwa huoni tena kinyaa?Mshauri afunge/arasimishe/abariki ndoa.Hayo ya kusingizia sijui Wakristu wamefanyaje unajichosha.Na vipi mtu akifunga ndoa halafu ana vimada wengine kama gunia mbili?Dini imekufanya umekuwa mwehu.Sijui kwanini wenzetu hawaoni kinyaa cha kuzini.....
Kapime DNA watotoKwanza kabisa naomba nishauri, ukibahatika kukutana na mtu unayempenda hata siku moja usije ukauliza au ukapata udadisi wa kuuliza mambo yake ya zamani, wewe Anza kumpenda pale mlipo anzia.
Okey turudi kwenye mada, nimekuwa nikiishi na mke wangu tangu tuanze kukaa pamoja huu ni mwaka almost WA nane, sijafunga nae ndoa lakini few months to come Mungu akijalia nitafunga nae pingu za maisha.
Katika kukaa kwetu Mungu katujalia watoto kadhaa na tunafuraha.
Mimi kama mwanaume tangu nizaliwe sijawah kukutana na mwanamke mwingine kimwili na Wala sijawahi kufikilia kumsaliti Kwa sababu nampenda sana tena sana.
Lakini mambo yalikuja kubadilika siku tulioamua kusimuliana mambo ya nyuma hasa mahusiano, Nilimwambia yangu ambayo yalikuwa dhaifu sana, Alinisimulia Mengi ya kwake alikuja kupigilia msumali pale aliponiambia Aliwahi KUNISALITI daaah.
Hapo hadi vipepeo vilicheza tumboni, nilishituka sana tena sana WHY? Kwa sababu nilimpenda na kumuamini sana kiasi kwamba sijawahi kufikilia kama anaweza nisaliti na Wala sijawahi kumuuliza kama amewahi kunisaliti na alinisaliti.
Mimi nikiwa nakomaa na PCB mitaa Fulani ya mkoa WA Kilimanjaro.
Amekaa na hiyo Siri takribani miaka nane yote niliokaa naye,
Nilijitahidi kumsamehe Kwa moyo wangu wote, lakini imagine unaishi na mwanamke aliekusaliti ingawa anasema mara moja lakini huwezi jua kama ni kweli au laah mana takribani miaka 3 tangu tuanze mahusiano tulitengana mi shule Alevel na yeye shule O level, sasa imagine wewe mwanaume hujawahi kumsaliti daah!!!
Ni kama udhaifu Fulani ivi!,
Laiti angeniambia mapema basi mahusiano yangeisha pale pale lakini tayari tuna watoto,.
Kimoyo safi mwanaume nikatoa msamaha lakini ule ukuta imara alionijengea wa kuto msaliti ukawa umeishia hapo, mana Kuna muda nilikuwa na uwezo hata WA kufanya mapenzi na mtu mwingine but najizuia Kwa sababu yake nikujua hajawahi nisaliti but not for today.
Kuna msichana nimemfukizia Kwa muda Wa wiki tatu, na Leo rasmi nimemsaliti mke wangu kipenzi kama alivofanya yeye miaka kadhaa nyuma. Na nimemsaliti sio Kwa sababu simpendi, hapana ila nataka nibalance mzani nisiwe namuona yeye anahatia ila nami nijiunge nae.
So kutokea Leo sintakuja tena kumsaliti mke wangu na Wala sitawahi kuja kumwambia nimemsaliti.
NB: Kuyaandika haya ni kwamba nimetoa la moyoni Ili hata siku nijichanganye vip yeye hata kuja kujua Wala sitakuja kumuambia
#ACHA YALIOPITA YAPITE
Mahusiano ya mtu wako kabla ya wewe usitake kuyajua kabisa.
NAWASILISHA NAOMBA KUSAMEHEWA[emoji120]
Unaongelea uislam ao walimu wa madrasa?Unaongea utumbo tu ni walimu wa ngapi wa madrasa tunashuhudia wakilawiti vijana? Ebu kaa kimya acha ushabiki maandazi...
🤔🤔🤔🤔🤔Kwanza kabisa naomba nishauri, ukibahatika kukutana na mtu unayempenda hata siku moja usije ukauliza au ukapata udadisi wa kuuliza mambo yake ya zamani, wewe Anza kumpenda pale mlipo anzia.
Okey turudi kwenye mada, nimekuwa nikiishi na mke wangu tangu tuanze kukaa pamoja huu ni mwaka almost WA nane, sijafunga nae ndoa lakini few months to come Mungu akijalia nitafunga nae pingu za maisha.
Katika kukaa kwetu Mungu katujalia watoto kadhaa na tunafuraha.
Mimi kama mwanaume tangu nizaliwe sijawah kukutana na mwanamke mwingine kimwili na Wala sijawahi kufikilia kumsaliti Kwa sababu nampenda sana tena sana.
Lakini mambo yalikuja kubadilika siku tulioamua kusimuliana mambo ya nyuma hasa mahusiano, Nilimwambia yangu ambayo yalikuwa dhaifu sana, Alinisimulia Mengi ya kwake alikuja kupigilia msumali pale aliponiambia Aliwahi KUNISALITI daaah.
Hapo hadi vipepeo vilicheza tumboni, nilishituka sana tena sana WHY? Kwa sababu nilimpenda na kumuamini sana kiasi kwamba sijawahi kufikilia kama anaweza nisaliti na Wala sijawahi kumuuliza kama amewahi kunisaliti na alinisaliti.
Mimi nikiwa nakomaa na PCB mitaa Fulani ya mkoa WA Kilimanjaro.
Amekaa na hiyo Siri takribani miaka nane yote niliokaa naye,
Nilijitahidi kumsamehe Kwa moyo wangu wote, lakini imagine unaishi na mwanamke aliekusaliti ingawa anasema mara moja lakini huwezi jua kama ni kweli au laah mana takribani miaka 3 tangu tuanze mahusiano tulitengana mi shule Alevel na yeye shule O level, sasa imagine wewe mwanaume hujawahi kumsaliti daah!!!
Ni kama udhaifu Fulani ivi!,
Laiti angeniambia mapema basi mahusiano yangeisha pale pale lakini tayari tuna watoto,.
Kimoyo safi mwanaume nikatoa msamaha lakini ule ukuta imara alionijengea wa kuto msaliti ukawa umeishia hapo, mana Kuna muda nilikuwa na uwezo hata WA kufanya mapenzi na mtu mwingine but najizuia Kwa sababu yake nikujua hajawahi nisaliti but not for today.
Kuna msichana nimemfukizia Kwa muda Wa wiki tatu, na Leo rasmi nimemsaliti mke wangu kipenzi kama alivofanya yeye miaka kadhaa nyuma. Na nimemsaliti sio Kwa sababu simpendi, hapana ila nataka nibalance mzani nisiwe namuona yeye anahatia ila nami nijiunge nae.
So kutokea Leo sintakuja tena kumsaliti mke wangu na Wala sitawahi kuja kumwambia nimemsaliti.
NB: Kuyaandika haya ni kwamba nimetoa la moyoni Ili hata siku nijichanganye vip yeye hata kuja kujua Wala sitakuja kumuambia
#ACHA YALIOPITA YAPITE
Mahusiano ya mtu wako kabla ya wewe usitake kuyajua kabisa.
NAWASILISHA NAOMBA KUSAMEHEWA[emoji120]
Sasa ndoa sii tayari hapo ama sio kwwli kuwa ukiishinna mwanamke zaidi ya miezi sita tayari ni mkeozinaa ni uchafu yaani unaishi na mtoto wa watu ushamlaza matiti bila hata ya ndoa.
Sio minne miaka nane(8)wanazini tu 🤦♀️🤦♀️🤦♀️Hivi nyie wakristo mbona mnapenda sana kuzini utakaje na mwana mke miaka mine una zini nae tu. Ndoa huna na unaona ni kawaida na fahari sana mpaka unasimlia watu, mnasingizia kupata pesa na pesa zenyewe mpaka leo mnakosa.......
Mbona una justify kitoto hivi..!!?Mkuu similizi zake ndo zinaonyesha kwamba ni mkristo huwezi kukaa na mtoto wa mtu miaka minne af akawa nanguvu kusimlia hivo, wao wanaona ni sehemu ya maisha.
Halafu mwenzie alichokifanya hakikuwa kuchiti..!! We mpo sekondari huko kila mtu bado anatafuta unasema alikuchiti..!! Yeye sasa ndo anachiti maana kisheria ni mke na mume..!!Ukicheat usitafute visababu vya kuhalalisha.
Kubali umefanya maisha mengine yaendelee
Siyo kweli; kabla ya kuanzisha uhusiano mwanaume unapaswa kuangalia past ya mwenzio, mwanamke anapaswa kuhakikisha future ya mwanaume wake. Ni muhimu sana.Kwanza kabisa naomba nishauri, ukibahatika kukutana na mtu unayempenda hata siku moja usije ukauliza au ukapata udadisi wa kuuliza mambo yake ya zamani, wewe Anza kumpenda pale mlipo anzia.
Acha kusingizia watoto kwa udhaifu wako. Sema hauwezi kumuacha, kwa kifupi anakumudu na amekuweka kiganjani. Haufurukuti. Watoto ni kisingizio tu umepata.Ni kama udhaifu Fulani ivi!,
Laiti angeniambia mapema basi mahusiano yangeisha pale pale lakini tayari tuna watoto
Usaliti wa mwanaume na mwanamke haufanani. Hata akijua hawezi kuumia kama ulivyoumia wewe.Kuna msichana nimemfukizia Kwa muda Wa wiki tatu, na Leo rasmi nimemsaliti mke wangu kipenzi kama alivofanya yeye miaka kadhaa nyuma. Na nimemsaliti sio Kwa sababu simpendi, hapana ila nataka nibalance mzani nisiwe namuona yeye anahatia ila nami nijiunge nae.