......-mpenzi wa halali!-
Interesting 🙂
Ndio kusema Neiwa kuna wapenzi wa 'haramu' pia....
Ok, tukienda deep kidogo, mpenzi wa halali anastahiki mambo gani afanyiwe nawe unamategemeo gani toka kwake?
......-mpenzi wa halali!-
Interesting 🙂
Ndio kusema Neiwa kuna wapenzi wa 'haramu' pia....
Ok, tukienda deep kidogo, mpenzi wa halali anastahiki mambo gani afanyiwe nawe unamategemeo gani toka kwake?
Originally mume/mke ina maana yule ambaye umefunga nae ndoa bila kujalisha ni kitamaduni, kidini, kimila. Ila kunakuwepo formal ceremony ya kuwaunganisha kama mtu na mumewe. So kuna halali na haramu pia.
Mke ni nomino na wangu ni kivumishi kimilikishi, maana yake ni mwanamke unayemmiliki na una haki zote na wajibu naye, kijamii na kisheria pia.